53930
Member
- Jan 20, 2011
- 65
- 21
Aisee mafisadi wananguvu nani wajanja sana. wanajua hapo baadae pakitokea vurugu mali zao zitaporwa ndio maana wanaficha hela Uswis na kama wana mali hapa nchini wanafungua makampuni ambayo hawaweki majina yao. Ndio hao hao wanakwamisha njia kuu za uchumi kama BANDARI, RELI, NDEGE NK. Leo hii ukianza kuzungumzia RELI ifufuliwe ili mizigo mikubwa ipite kwenye reli barabara zetu zidumu na zisiwe na mawimbi ambayo ni chanzo cha ajali. Nawahakikishia itapingwa bungeni na kwenye mikutano kwani hawa hawa mafisadi wana- Malory mengi sana ya mafuta na Mizigo mingine.
Shit. this is frozen country but i will take action.
Shit. this is frozen country but i will take action.