Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,915
- 30,027
Nchi haijengwi kwa majungu,how sure are you kuwa hayo magari ni ya riz1?
How sure you are kua SIO ya Riz1??
Nchi haijengwi kwa majungu,how sure are you kuwa hayo magari ni ya riz1?
Kijana katumia vizuri nafasi ya mshua,Golden chance never come twice!!
Nasikia ana hisa lake oil ,anajenga kiwanda cha cement kigamboni duh
uuuuuuiiiiiiiiii Tanzania
Wanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Sawali utajiri huu ameutoa wapi?
BORA YA HUYU KIJANA ANAYETHUBUTU KUWAAJIRI VIJANA WENZAKE KULIKO VIJANA/WAZEE WENGINE AMBAO HAWAFANYI HIVYO ILIHALI UWEZO WANAO.KWA HARAKAx2 MAGARI 78 HAPA TUNA MADEREVA 78+78 SPANA BOYS=156 EMPLOYMENTS THAT IS GOOD.
...Ushahidi? Na hili ndilo linatumaliza WATANZANIA.. MAFUNUNU!!! Hakuna mtu anajiuliza TUNAJIKWAMUAJE!? Bali utajiri wa fulani na fulani ambao tunaona WANAUZA.. wale wasiouza au TUNAOWAPENDA UTAJIRI WAO WALA HATUNA MUDA WA KUUHOJI! sijui tunaelekea wapi...? Tena afadhali huyo ameleta ajira je wale wanaozificha ughaibuni???Kijana katumia vizuri nafasi ya mshua,Golden chance never come twice!!
Nasikia ana hisa lake oil ,anajenga kiwanda cha cement kigamboni duh
uuuuuuiiiiiiiiii Tanzania
Bado kuna watu wa garage na garage znyewe watanufaika, hatujasema wauza vipuri na mama lishe wa njiani.... angalau kuna chochote kinaweza kupatikana!!BORA YA HUYU KIJANA ANAYETHUBUTU KUWAAJIRI VIJANA WENZAKE KULIKO VIJANA/WAZEE WENGINE AMBAO HAWAFANYI HIVYO ILIHALI UWEZO WANAO.KWA HARAKAx2 MAGARI 78 HAPA TUNA MADEREVA 78+78 SPANA BOYS=156 EMPLOYMENTS THAT IS GOOD.
"Achakuwa na majibu mepesi kwenye maswali magumu" au sio mtanzania mwenye viungo vyote.
Nchi haijengwi kwa majungu,how sure are you kuwa hayo magari ni ya riz1?
Wanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Sawali utajiri huu ameutoa wapi?
Nchi haijengwi kwa majungu,how sure are you kuwa hayo magari ni ya riz1?
Nchi haijengwi kwa majungu,how sure are you kuwa hayo magari ni ya riz1?[/QU mtoa mada tayari katoa "LEAD" ndio point ya kuanzia, never ignore info
Next time mchague Rais tajiri maskini atamaliza pesa zoteWanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Sawali utajiri huu ameutoa wapi?