Magari ya Rizwan

Magari ya Rizwan

Nchi haijengwi kwa majungu,how sure are you kuwa hayo magari ni ya riz1?
Ni magari yako mkuu sio ya liz, after all miaka hii watu hawawezi kutunza siri kiivyo,
ugumu wa maisha unatosha kuwafanya kumwaga mchele!
 
Nimewahoji madreva Kama Sita hivi, wanasema ni za Rizwan, na watu wa custom, nimehoji mbona Haya magari yanapita tu? Nikajibiwa ni za wakubwa. Sasa ushahidi gani una taka?
Wewe huna kazi ya kufanya? Sasa kilicho kupeleka hapo ni hayo magari? Wabongo bana.yani ni umbea kwa kwenda mbele.
 
Sisi tubaki kupiga kelele na kutesa keyboard zetu wao wanapeta! kama tupo serious tuchukue hatua 2015 tuonyeshe tumechoka na CCM lakini kama tutaendelea kula pilau ok keybord ziendelee kuteseka kwa malalamiko yetu!
 
Wanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Sawali utajiri huu ameutoa wapi?

Ndugu yangu unauliza tena!!!! 🙁😀😀🙁😕😕😱😱😱
 
By mamajack<br />
ulitaka umwambie wewe????
haya mama jack.sasa nami nakuambia kampuni mpya ya ndege inayokuja inaitwa fast jet ni ya ridhiwani.

Toa maalezo ya kina ilitujue hiyo fast jet niya huyo bwana mdogo maana mnakuja na habari za ajabu hata mtoto wa chekechea hakubali toa maelezo! :thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown:
 
Siungi mkono hoja hii mambo ya kusema magari au kitu fulani ni cha mtu fulani bila ya kuwa na ushahidi wa ata wa kimazingira hii naikataa na umu JF tuikemee sana sababu hii trend ya kila magari na mabasi kuwa ya RIDHIWAN na kila maghorofa kuwa ya LOWASSA mimi naona ni utoto emu tuje na data ili tuende sawa.

Mbona kama watu mna vichwa vizito sana.? Mtoa mada amesema amewahoji madereva 6 na wamemtaja boss wao, wee unataka data gani?
 
Uthibitisho haujitoshelezi, all in all kama ni ya kwake basi utajiri kautoa Tanzania. Kwa maelezo zaidi subiri babake atoke madarakani ndo tutayapata mengi ktk undani wake!
 
Kama anawekeza hapa na sio Uswis mwacheni tu Kila Mtanzania Pekee ambaye hakuwa mwizi ni Mwalimu peke yake wengine wote wezi tu tukipata hizo nafasi tutafanya hayo hayo ya Riz 1 by the way 2015 is coming kama tunahasira kweli tuitoe sisiem madarakani
 
Wana biashara ya nyara za serikali,madini,kodi za mapato za makampuni binafsi kama Airtel,Barick nk,wana weka mfukoni,Mungu awepe nini.Tanzania is an incorporated Company bwana.Wewe unaishi wapi.
Wanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Sawali utajiri huu ameutoa wapi?
 
Hoja ni nzuri lakini haina ushahidi na haiingii akilini. Yaani hata ukiambiwa kuwa Riziwan ana mpango wa kuiuza Tanzania utakubali simply because umeambiwa? Hayo magari yanaweza kuwa ya yeyote na si lazima Riz. Huyu dogo hata kama hatumpendi tumtendee haki. Maana kila mali sasa ni ya Riz. Kesho utasikia kuwa Riz anamilki mlima K'njaro na mbuga zote nchini. Atamilki vingapi?
 
Wewe ni kipofu anayetamani upofu.Kila kitu kiko wazi kuhusu utajiri wa Ridhwani. Ni wizi wa mali za watanzania, full stop, hakuna siri hapo.
sasa badala la kutafuta ushahidi wa kitaalam kwanza kama zake unakimbilia kuhoji alikotoa utajiri.je tukijadili alikotoa utajiri halafu baadae tukagundua gari hazikuwa zake?
 
Mdaula headquater is a hub of all rackets for Ritz one

I know JF Members need sources of the information: Do you homework to find out
 
Back
Top Bottom