yamekuwa ya shida sana, hasa hapa buguruni rosana, kila linalokua ama mwenge, au msasani. nimelazimika kuapanda hayo ya msasani ili nikaliunge pale moroko!
sooo??? tukusaidieje??
yamekuwa ya shida sana, hasa hapa buguruni rosana, kila linalokua ama mwenge, au msasani. nimelazimika kuapanda hayo ya msasani ili nikaliunge pale moroko!
Chukua helicopter uruke angani kama kunguru
nunua toyota mac2,au ka starlet,au ka spacioDah, na leo tena jameni! hii kero mpaka lini kwa abiria wa kawe?
Hivi kumbe kunguru huruka kwa helicopter!!!!!??