Magari ya Hybrid yanayofanya vizuri Tanzania

Kwanini wasitoe na yale yenye solar panels? Mimi ninachoona ni kwamba Fanya ufanyavyo Dunia nzima kuna watu wachache sana ndio wanufaika wa mwisho haswa kwenye nishati uongozi nk.
Naamini wanaweza kutengeneza magari yenye solar panels na yakawa yanaendeshwa na full umeme. Ila lengo ni kutumikisha watu kuwanyang'anya uhuru mwisho kuendelea kuwatawala.

Ndio hao wanaochichea vita na kupandisha juu bei za nishati. Na vyakula.
 
Kwanini wasitoe na yale yenye solar panels? Mimi ninachoona ni kwamba Fanya ufanyavyo Dunia nzima kuna watu wachache sana ndio wanufaika wa mwisho haswa kwenye nishati uongozi nk.
Naamini wanaweza kutengeneza magari yenye solar panels na yakawa yanaendeshwa na full umeme. Ila lengo ni kutumikisha watu kuwanyang'anya uhuru mwisho kuendelea kuwatawala.

Ndio hao wanaochichea vita na kupandisha juu bei za nishati. Na vyakula.
Wazo zuri sana mkuu, na Makampuni ya magari wameanza kulifanyia kazi mkuu. Ila kuna changamoto kidogo hapo. Nayo ni kwamba, roof ya gari ina eneo dogo sana kutengeneza umeme wa kutosha.

Ni hivi, magari mengi yana roof yenye surface area ya square mita 3 hadi 5 hivi, na kwa technolojia ya sasa, solar panels nyingi zinatengeneza 150 watts kwa square mita moja. Ambayo ni karibia sawa na energy ya kuwasha taa moja ya nyumbani.

kwahiyo economically, wanaona bora waache tu.

Gari kama Prius 3rd generations (2009 hadi leo) zina solar panels ambazo zinaongezea umeme kidogo kwenye battery. Mfano: Prius 2019 zina solar panels ambazo zinaweza kuongeza range ya kilometa 5 hadi 10 ikiwa imewekwa kwenye jua siku nzima. Na iyo option unakuta inauzwa $700

Tatizo una uhakika wa jua kila siku? Je km 10 zinaworth? Wana sacrifise vitu vingi sana ukiweka solar panel kama panoramic roof, sunroof etc.
 
Wazo zuri sana mkuu, na Makampuni ya magari wameanza kulifanyia kazi mkuu. Ila kuna changamoto kidogo hapo. Nayo ni kwamba, roof ya gari ina eneo dogo sana kutengeneza umeme wa kutosha.

Ni hivi, magari mengi yana roof yenye surface area ya square mita 3 hadi 5 hivi, na kwa technolojia ya sasa, solar panels nyingi zinatengeneza 150 watts kwa square mita moja. Ambayo ni karibia sawa na energy ya kuwasha taa moja ya nyumbani.

kwahiyo economically, wanaona bora waache tu.

Gari kama Prius 3rd generations (2009 hadi leo) zina solar panels ambazo zinaongezea umeme kidogo kwenye battery. Mfano: Prius 2019 zina solar panels ambazo zinaweza kuongeza range ya kilometa 5 hadi 10 ikiwa imewekwa kwenye jua siku nzima. Na iyo option unakuta inauzwa $700

Tatizo una uhakika wa jua kila siku? Je km 10 zinaworth? Wana sacrifise vitu vingi sana ukiweka solar panel kama panoramic roof, sunroof etc.
Wazo zuri sana mkuu, na Makampuni ya magari wameanza kulifanyia kazi mkuu. Ila kuna changamoto kidogo hapo. Nayo ni kwamba, roof ya gari ina eneo dogo sana kutengeneza umeme wa kutosha.

Ni hivi, magari mengi yana roof yenye surface area ya square mita 3 hadi 5 hivi, na kwa technolojia ya sasa, solar panels nyingi zinatengeneza 150 watts kwa square mita moja. Ambayo ni karibia sawa na energy ya kuwasha taa moja ya nyumbani.

kwahiyo economically, wanaona bora waache tu.

Gari kama Prius 3rd generations (2009 hadi leo) zina solar panels ambazo zinaongezea umeme kidogo kwenye battery. Mfano: Prius 2019 zina solar panels ambazo zinaweza kuongeza range ya kilometa 5 hadi 10 ikiwa imewekwa kwenye jua siku nzima. Na iyo option unakuta inauzwa $700

Tatizo una uhakika wa jua kila siku? Je km 10 zinaworth? Wana sacrifise vitu vingi sana ukiweka solar panel kama panoramic roof, sunroof etc.
Umewiva sana mkuu. Sina shaka na wewe. Wakati ukiwadia lazima nikutafute unikabidhi chuma yangu.
 
Back
Top Bottom