hybrid

A hybrid vehicle is one that uses two or more distinct types of power, such as submarines that use diesel when surfaced and batteries when submerged. Other means to store energy include pressurized fluid in hydraulic hybrids.
The basic principle with hybrid vehicles is that the different motors work better at different speeds; the electric motor is more efficient at producing torque, or turning power, and the combustion engine is better for maintaining high speed (better than a typical electric motor). Switching from one to the other at the proper time while speeding up yields a win-win in terms of energy efficiency, as such that translates into greater fuel efficiency, for example.

View More On Wikipedia.org
  1. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Honda wamezindua 4th Gen Insight: Sasa hivi ni full EV sio tena hybrid kama matoleo ya nyuma!

    Najua inawezakua ni habari mbaya kwa wengine. Ila ndio hivyo. Honda wamezindua generation ya nne ya hybrid yake pendwa Honda Insight, ila sasa wameachana na hybrid moja kwa moja wameenda EV. Kwahiyo Insight EV jina jingine itaitwa Honda e:N2 kwa masoko ya China na Thailand. Kwa kuanza...
  2. albab

    JamiiForums Tanzania Chochote unachokijua kuhusu Toyota corolla fielder wxb - hybrid

    Habari Wakuu... Kwanza nianze kwa kusema mimi ni mgeni kwenye field hii ya magari ila natamani kupata usafiri siku kadhaa mbele. Chaguo langu ni toyota (kwa sababu ni gari yangu ya kwanza naamini sitosumbuka sana). Nimewaza gari ya kifamilia zaidi na ngumu ambayo pia ni fuel economy. Katika...
  3. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota AQUA “HYBRID” Iko sokoni

    Bei/Price🏷️👉🏾TSH 17.9M Call📞+255 747 999 927 TOYOTA AQUA Year: 2014 Engine: 1,490Cc Mileage: 55,000+ Transmission: AUTO ✨Fog Lights ✨Sport Rims ✨Rear Spoiler ✅Clean Interior ✅Well-Maintained ✅Swap Deals Allowed
  4. Clack-Sniper

    JamiiForums Tanzania Magari ya Hybrid Kama toyota Aqua

    Hello wana jamii. Naomba kuuliza kama kuna mwenye uzoefu na uendeshaji wa Toyota AQUA hybrid. Hapa Tanzania experience ikoje? Je ulaji wa mafuta ni kama wanavyoonyesha kwenye review za mtandaoni 24 - 35 Km/l? Ufanyaje service je? Mnatumia oil gani. Maana recommended ni SAE 0w20. Ila kwa Hapa...
  5. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nimekuletea power bank ya kijapan🇯🇵 a.k.a toyota aqua hybrid

    Bei/Price TSH 13.9M Call +255 747 999 927 TOYOTA AQUA HYBRID Year: 2013 Engine: 1490Cc Mileage: 124,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Alloy Wheels 2-SRS Airbags Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  6. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Mazda wamezindua 3rd generation CX-5: Ina option ya Hybrid na Hakuna buttons kwenye cockpit!

    Hatimaye Mazda wamezindua 3rd gen ya SUV yake pendwa duniani, CX-5 Itakayoanzwa kuuzwa mwaka 2026. Mazda CX-5 itakuja na option ya 2.5L engine Petrol na 2.5L Skyactiv-Z engine Hybrid itatoka kuanzia 2027 na option ya Diesel mtaendelea kusubiria. Kwa muonekano wa nje imeongezeka ukubwa kutoka...
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Mitsubishi Outlander PHEV – SUV kali ya Hybrid na Kuchaji kwa wapenzi wa EV!

    Mitsubishi Outlander PHEV ni moja ya magari ya plug-in hybrid yanayoongoza duniani, likiwa na mchanganyiko wa teknolojia ya engine ya petroli na mfumo wa umeme. Mfumo wa Injini Outlander PHEV inatumia injini ya petrol ya cc 2,000 ikiwa na 4-cylinders, pamoja na mfumo wa umeme unaotoa jumla ya...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Hybrid cars za chini ya 25m

  9. H

    JamiiForums Tanzania Demokrasi or Domokrasi ina AFRIKA?

    Democracy is not good for Africa, Qatar doesn't have a democratic system of governance. One leader one vision for economic transformation. In Africa we have to just say no to neocolonialism and emancipate ourselves from mental slavery and start thinking to do things on our own. The country...
  10. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Toyota wazindua Rav 4 new Generation: Ni Hybrid na EV tu, hakuna Engine kavu!

    Hatimaye Generation ya 6 ya Rav 4 imezinduliwa leo tar 21 May huko Japan, na imejumlisha re-design ya kuanzia muonekano wa nje na ndani, hadi performance. Kuendana na kasi ya ukuaji wa magari ya umeme, generation hii ya Rav 4 itakuja kwa options mbili tu, either full EV (BEV) au Hybrid (PHEV)...
  11. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Nissan Note Hybrid 3rd gen izingatiwe. Hafu bei sio ya moto kivile kwa waliojipata!

    Nissan Note Hybrid 3rd generation (E13) yenye engine (generator) ya cc 1200 na e-Power hybrid system ya Nissan ni chuma ambayo watu wanajifanya hawaioni. Kwa CIF ya Mil 20+ na kodi ya mil 13+ unapata hii hatchback moja kali sana. Model ya 3rd gen imeanzia 2020+ na una options za FWD au AWD...
  12. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kutoka Mazda Atenza to Honda Fit Hybrid: Nini unapoteza na nini unagain?

    Wakuu. Baada ya kukaa na Mazda Atenza kwa karibia 2 years, nikaona nibadirishe niende EV ndoto ikiwa Nissan Leaf ila ushuru ukanikata maini nikasema sio mbaya nikienda Hybrid, moja kwa moja nikaangukia Honda Fit Hybrid. Ni gari ndogo, isio na mambo mengi kwa mtu ambae ana misele mingi ya...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Yajue Magari ya Hybrid

    Magari ya Hybrid: Uzi huu ni maalum kwa Wasiojua Magari ya hybrid wapate kuyafahamu Katika ulimwengu wa magari, teknolojia ya hybrid imekuwa moja ya mabadiliko makubwa ya karne ya 21. Lakini hybrid ni nini hasa? Hebu tuchambue kwa urahisi, hatua kwa hatua, ili kila mtu aweze kuelewa. Hybrid ni...
  14. Mad Max

    JamiiForums Tanzania New Guinness World Record: Hybrid kutoka China imetembea Kilometa 2,200 bila kuongezwa mafuta!

    Ni kutoka China tena. Kampuni ya magari kutoka China ya Roewe wamevunja record ya Dunia kwa kutembeza gari lao la D7 zaidi ya Kilometa 2,200 bila kujaza mafuta wala kuchaji. Ni Plug-in Hybrid inayokuja na engine ya 1.5 L petrol inayotoa 110 hp na electrical motor inayotoa 200hp, na ikiwa na...
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Chagua Hybrid Moja hapa: Toyota Prius vs Honda Insight!

    Wakuu. Bila kupepesa macho, kuna izi hybrid mbili kutoka Japan (Toyota Prius na Honda Insight) ambazo zinafanana na kutofautiana mambo mengi sana. Kwa kuanza zote naomba tutumie za mwaka mmoja, 2009 ambapo kwa Prius ndio alikua anaanza generation ya tatu na Insight yeye anaanza generation ya...
  16. mjasiriamali mdogo

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna gari zaidi Vitz na Passo ambazo sio hybrid Kwa ulaji mdogo wa mafuta.?

    Wadau Nataka kununua kigari cha kupigia misele hapa mjini. Yaani Nataka kila niendapo iwe ni mwendo wa kukanyaga Gia Tu. Je kuna gari zaidi ya Vitz na Passo Kwa ulaji mdogo wa mafuta.?
  17. A

    JamiiForums Tanzania Hybrid cars

    Nawasalimu wote jukwaani Kutokana na kuzidi kupaa kwa bei za mafuta napenda kujua zaidi kuhusu hizi hybrid cars. Ufanisi wake, uimara wake, consumption ya mafuta[nimesikia ni ndogo] na mengine mengi na je magari hAya ni rafiki kwa mazingira ya nchi yetu Mnaofahamu au kuwai kutumia gari hizi...
  18. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Lamborghini waja na V8 Hybrid sportcar: Lamborghini Temerario

    Waitalia hawapoi, wakati juzi juzi tu wametoka kuzindua Lamborghini Revuelto (ipo sokoni kuanzia huu mwaka 2024) iliyomreplace Aventador (iliyotokea 2012 hadi 2023) sasa wamekuja na Temerario itakayoanza kuuzwa 2025 na inamreplace Lamborghini Huracan iliyokua sokoni kutokea 2014. Kidogo...
  19. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Bugatti wazindua generation mpya, Bugatti Tourbillon Hybrid itakayomrithi legendary Bugatti Chiron!

    Muda hautoshi, vyuma vinatolewa kila siku. Kampuni ya Kibabe ya Magari kutoka Ufaransa, Bugatti wameamua kutuletea generation mpya ya gari yao itakayomrithi Bugatti Chiron aliekuwepo tokea 2016 na sasa officially imeachwa kutengezwa 2024, na tumepewa Bugatti Tourbillon. Hii gari ina cc 8300...
  20. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Magari ya Hybrid yanayofanya vizuri Tanzania

    Huku bei ya mafuta ikiendelea kupanda kila kukicha ndani ya hii miaka mitano (kutoka Tsh 2100/= hadi sasa Tsh 3300/=) na hamna "dalili" kuona bei ikishuka, ni muda wa Watumiaji kubadirisha muelekeo (adaptation). Kwa wanaotafuta gari, ni bora kuangalia "Fuel Efficient cars" au "Hybrid cars" huku...
Back
Top Bottom