askarikambi
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 246
- 263
Habari wandugu.
Mwezi wa kumi mwaka huu, nakusudia kuchukua usafiri.
Bajeti yangu haizidi 10M. Nimejaribu kupita kwenye yard na website za kampuni zinazouza used cars hapa Tz kuangalia bei za magari. Gari zote zilizonivutia nimekuta bei yake siiwezi kwa sasa.
Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. Na mimi urefu wangu hauzidi sh. 10 M
Gari za Toyota nilizokuta zinaangukia humu ni Porte na Sienta. IST na spacio sijazizingatia kwasababu zimejaa mno mtaani kwetu na mimi nahitaji kitu tofauti.
Sasa nahitaji msaada kwa anayezijua hizi gari, Porte na Sienta. Zina uzuri gari au shida zipi za msingi ili zinisaidia kufikia maamuzi ya gari ipi kuchukua.
Najua humu wapo wataalam wa magari na wale ambao wametumia au wanatumia hizi gari. Nategemea msaada wenu.
Ahsante.
Toyota Porte
Sienta
Mwezi wa kumi mwaka huu, nakusudia kuchukua usafiri.
Bajeti yangu haizidi 10M. Nimejaribu kupita kwenye yard na website za kampuni zinazouza used cars hapa Tz kuangalia bei za magari. Gari zote zilizonivutia nimekuta bei yake siiwezi kwa sasa.
Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. Na mimi urefu wangu hauzidi sh. 10 M
Gari za Toyota nilizokuta zinaangukia humu ni Porte na Sienta. IST na spacio sijazizingatia kwasababu zimejaa mno mtaani kwetu na mimi nahitaji kitu tofauti.
Sasa nahitaji msaada kwa anayezijua hizi gari, Porte na Sienta. Zina uzuri gari au shida zipi za msingi ili zinisaidia kufikia maamuzi ya gari ipi kuchukua.
Najua humu wapo wataalam wa magari na wale ambao wametumia au wanatumia hizi gari. Nategemea msaada wenu.
Ahsante.
Toyota Porte
Sienta