MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
katika hali ya kusiktisha usiku wa kuamkia leo, kundi la majambazi wametega magogo na kuzuia barabara itokayo maeneo ya gonja, ndungu, mamba na kisiwani na kuwapekua .Abiria, gari moja baada ya hapo likapata ajali mbaya na kuwajerui .abiria majerui wamefikishwa hospitali ya Same