Magari kutoka afrika kusini

Magari kutoka afrika kusini

Umkonto umsizwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2023
Posts
527
Reaction score
1,130
Habari za wakati huu members wa jf
Nina swali kidogo
Je ni kwanini magari mengi kutoka afrika kusini ambayo nimeyaona au kuja hapa tanzania ni magari kutoka jimba la Gauteng police (GP) na siyo majimbo mengine
Na ikiwa kila jimbo lina plate number yake?
FB_IMG_17422209298073075.jpg

Ikiwa umewahi kuyaona weka evidence
 
Habari za wakati huu members wa jf
Nina swali kidogo
Je ni kwanini magari mengi kutoka afrika kusini ambayo nimeyaona au kuja hapa tanzania ni magari kutoka jomba la Gauteng police (GP) na siyo majimbo mengine View attachment 3274225
Ikiwa umewahi kuyaona weka evidence
Ni gauteng province siyo police, na sababu kubwa ndio jimbo kubwa la kibiashara kama dar, na pili ipo karibu na borders tofauti na cape town huko ambako hadi ufike border ya botswana ni km 2000
 
Ni gauteng province siyo police, na sababu kubwa ndio jimbo kubwa la kibiashara kama dar, na pili ipo karibu na borders tofauti na cape town huko ambako hadi ufike border ya botswana ni km 2000
Point ya kwanza
umbali kwa majimbo mengine tofauti na jimbo la Gauteng ki mipaka
 
Gauteng Province au gangster paradise ina plate namba nzuri na ndio mabaharia,wajanja na wagunu wanaishi hapo. Hilo jimbo hata baadhi tá wazawa wanaogopa kulikanyaga.
Nalog off
 
Nimeishi huko eneo la gauteng yani wizi wa magari ni kama vibaka wanaiba mikoba au kuiba simu.

Nisanue tu gari nyingi zinazo kuja bongo nyingi za wizi sana.
Na wapo wanaozifanyia usajili zikatoka kule na usijue kuwa waliiba kama kupora simu.

Nyengine zinazokuja nyingi unakuta wengi hawapendi kutengeneza sana akiona blabla anauza na zengine zina bima kubwa ikipata ajali au ubovu ndio tunazao.

Ila nachopenda maisha ya south afrika kama hawa wasijulikana wanatamba mtaani na tunawajua yani kule ulishamalizana naye zamani maana kifo kipo cha pesa unayotaka kulipiza
 
Point2
Gari ni za wizi
Point 3
Gari zilizopata ajari

Nimeishi huko eneo la gauteng yani wizi wa magari ni kama vibaka wanaiba mikoba au kuiba simu.

Nisanue tu gari nyingi zinazo kuja bongo nyingi za wizi sana.
Na wapo wanaozifanyia usajili zikatoka kule na usijue kuwa waliiba kama kupora simu.

Nyengine zinazokuja nyingi unakuta wengi hawapendi kutengeneza sana akiona blabla anauza na zengine zina bima kubwa ikipata ajali au ubovu ndio tunazao.

Ila nachopenda maisha ya south afrika kama hawa wasijulikana wanatamba mtaani na tunawajua yani kule ulishamalizana naye zamani maana kifo kipo cha pesa unayotaka kulipiza
 
Gauteng Province ni jimbo linalounganisha Pretoria na Johannesburg ndio jimbo lenye idadi kubwa ya magari kwa SA hilo jimbo kwa mwaka 2019 walikua na idadi ya magari 2.9 milioni yaliyosajiriwa sina taarifa za sasa kwa hiyo mzunguko wa uuzaji wa magari kwa Gauteng tu ni mkubwa sana na pia gari hiyo hiyo na mwaka huo huo hilo jimbo bei itakua juu kuliko majimbo hayo mengine yote kutokana na mzunguko mkubwa wa hela wa GP kwenye magari.
 
Gauteng Province ni jimbo linalounganisha Pretoria na Johannesburg ndio jimbo lenye idadi kubwa ya magari kwa SA hilo jimbo kwa mwaka 2019 walikua na idadi ya magari 2.9 milioni yaliyosajiriwa sina taarifa za sasa kwa hiyo mzunguko wa uuzaji wa magari kwa Gauteng tu ni mkubwa sana na pia gari hiyo hiyo na mwaka huo huo hilo jimbo bei itakua juu kuliko majimbo hayo mengine yote kutokana na mzunguko mkubwa wa hela wa GP kwenye magari.
Kwamashu ipo jimbo gani kiongozi
 
Magari ya mchongo,wizi toka gangster paradise
 
Back
Top Bottom