Mgodo Mgodoki
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,399
- 1,368
Tukio hili limetokea jioni hii Mbagala Kilungule Jijini Dar ni baada ya Magaidi hao walipotaka kumpora SMG Askari Polisi aliekuwa anapita maeneo hayo bahati nzuri kulikuwa na Askari kanzu aliekuwa na Pistol kwa mbali alipoona tukio ndipo alipowapiga Risasi hao Magaidi.
Gaidi mmoja kabla hajafa akatoka taarifa kuwa kuna wenzake wapo nyumba fulani ndipo kikosi kamili cha askari kilipokuja na kuzingira hiyo nyumba na kuwakuta watu watano ndani, watatu wa kiume na wawili wakike, zimekutwa silaha na mabomu 15,walipoulizwa motive yao wakasema wanapigania Dola ya kiislam Nchini.
Gaidi mmoja kabla hajafa akatoka taarifa kuwa kuna wenzake wapo nyumba fulani ndipo kikosi kamili cha askari kilipokuja na kuzingira hiyo nyumba na kuwakuta watu watano ndani, watatu wa kiume na wawili wakike, zimekutwa silaha na mabomu 15,walipoulizwa motive yao wakasema wanapigania Dola ya kiislam Nchini.