Magaidi wawili wauawa Mbagala Kilungule

Magaidi wawili wauawa Mbagala Kilungule

Mgodo Mgodoki

Kwa ujinga wenu ongeeni kuhusu ugaidi na waonyesheni vidole ndugu zenu waislam kwa akili ndogo mnadhani mnawadhalilisha kumbe kuna element za kupandikiza chuki kati yenu na hivyo urahisi wa nyinyi kwa nyinyi kugawanyika

Fikirieni wenye matatizo hayo sasa yalianzaje Na sasa wanapata shida gani?

Werevu hujifunza kwa shida za wengine, wapumbavu huona fahari wanapoongelewa kwa huruma...
 
Last edited by a moderator:
Hatari, ee Mungu tuepushe na madhira haya...
 
Kulivyokuwa Hakuna magaidi duniani polisi wa tz walikuwa hawana kisingizio cha kuua raia wasio na hatia. Saaizi ikitokea mtwara wakaandamana tena kupinga sheria ya gesi iliyopitishwa kihuni na ccm watapigwa risasi alafu wataitwa magaidi.
NINA WASIWASI SN NA HII GIA YA UGAIDI
 
Aman inakuwasha sasa wataka magaid...waulize kenya wenzako...

pia kwa taarifa zaidi kunao maga.idi wa jf watakupasha wao zaidi ni foxxxxy foxy sana na kuwakilisha sheba.b tanganyika
 
tunaiomba serekali yetu!
Iwafanyie torching ya nguvu ili kwa lazima wawataje wote wenzao waliopa Tanzania!/ wahifadhiwe sehemu nyeti!!!
for life.
 
Ni sawa. Ni magaidi wa kiislamu. Nani kakuambia kuwa huwa wanatumia akili! Ni watu wa elimu ndogo.
 
Mnaomba yasio ombwa mnatamani yasiyo tamanika magaidi mnawajua au mnawasikia ikiwa dunia mzima inahangaika na jambo hilo tz wao wanalitamani litokee acheni mambo hayo ya kijinga tusijidanganye tz hakuna ulinzi na uwezo wa kukabiliana na ugaidi gaidi huwezi kumjua na wala hutojua SAA au wakati gani atafanya kwa maana he semi na hajionyeshi tusiwe tunaomba hilo jambo litokee gaidi hamnyanyani askari silaha hua tayari anazo na mabomu hua tayari anayo hutengeza wenyewe
 
Sasa wewe, unachokataa ninini? Ikiwa wao wamejisema na kujitambulissha vile, wewe unabisha unataka waitweje? Kwamba si waislam kwa sababu hutaki uislam utajwe kwenye ugaidi? Kama nidyo ulilpaswa kuwakataza waislam wasifanye ugaidi ili ugaidi usitajwe kuhusiana na uislam.

Kupata rangi nyeupe kaburi, hakuondoi ukweli kuna maiti iliyooza ndani.


Mnaomba yasio ombwa mnatamani yasiyo tamanika magaidi mnawajua au mnawasikia ikiwa dunia mzima inahangaika na jambo hilo tz wao wanalitamani litokee acheni mambo hayo ya kijinga tusijidanganye tz hakuna ulinzi na uwezo wa kukabiliana na ugaidi gaidi huwezi kumjua na wala hutojua SAA au wakati gani atafanya kwa maana he semi na hajionyeshi tusiwe tunaomba hilo jambo litokee gaidi hamnyanyani askari silaha hua tayari anazo na mabomu hua tayari anayo hutengeza wenyewe
 
Mgodo Mgodoki

hii ni kutokuwa serious na hili suala la ugaidi unaoota mizizi hapa nchii. Bunge limetumia muda mwingi kupitisha dili za mafisadi ndani ya serikali na kusahau kabisa kuweka sheria za kuidhibiti hali hii. Wahalifu hawa wameachwa wakirandaranda tu, mara Morogoro, Arusha, Tanga na sasa Dar Es Salaam! Inashangaza sana, sijui kigugumizi kiko wapi hapa, nyumba za ibada wanazotumia zinafahamika, wahusika wanafahamika na hata kama hawafahamiki waliokamatwa wakiwa hai wangetosha kuwa mtaji wa kuwanasa wengine walio kwenye mtandao huu. Je inawezekana wahalifu hawa wanalindwa na baadhi ya wana mtandao wao waliopo ndani ya serikali?
 
Last edited by a moderator:
. . . . . . . . .Askari kanzu "kwa mbali alipoona tukio ndipo akawapiga risasi". . . . . . .

Asee. . .,
 
Moja ya mapungufu ya serikali hii ni kutokuwa serious na hili suala la ugaidi unaoota mizizi hapa nchii. Bunge limetumia muda mwingi kupitisha dili za mafisadi ndani ya serikali na kusahau kabisa kuweka sheria za kuidhibiti hali hii. Wahalifu hawa wameachwa wakirandaranda tu, mara Morogoro, Arusha, Tanga na sasa Dar Es Salaam! Inashangaza sana, sijui kigugumizi kiko wapi hapa, nyumba za ibada wanazotumia zinafahamika, wahusika wanafahamika na hata kama hawafahamiki waliokamatwa wakiwa hai wangetosha kuwa mtaji wa kuwanasa wengine walio kwenye mtandao huu. Je inawezekana wahalifu hawa wanalindwa na baadhi ya wana mtandao wao waliopo ndani ya serikali?

Ndio ujue kelele ni nyingi kuliko uhalisia. . . . . Kama hali ingekuwa alarming kiasi hiko wala kusingekuwa na haja ya sheria . . . . ujambazi ulipotamalaki vikosi maalum viliundwa taratiibu na kazi yao iko na imeonekana. . . . .Sio kila jambo linataka vuvuzela ili lionekane linafanyika. . . . .

Kazi ya usalama sio ngoma kusema bila chereko hainogi. . . . . .
 
Back
Top Bottom