Mafuta yetu kule visiwani yaliishia wapi?

Mafuta yetu kule visiwani yaliishia wapi?

Welu

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
852
Reaction score
303
Miaka michache iliyopita ilibaki tung'oane vichwa. Ooo mafuta si ya muungano aa mara ni yetu wote mara oo si yenu maadamu mabishano tu.Hivi wapendwa hayo mafuta Zanzibar yaliishia wapi? Bado yapo?
 
Mafuta yako na yatachimbwa na Shell ya Uholanzi MKuu na ujumbe wake wamesha sign MoU na tetesi za mafuta ziko Zanzibar tangia waka 1958.
 
nchi ya upepo tu hiii wewe mgeni nini... lishapita hilo
 
Ni ya muungano piga ua!
Miaka michache iliyopita ilibaki tung'oane vichwa. Ooo mafuta si ya muungano aa mara ni yetu wote mara oo si yenu maadamu mabishano tu.Hivi wapendwa hayo mafuta Zanzibar yaliishia wapi? Bado yapo?
 
Mafuta yako na yatachimbwa na Shell ya Uholanzi MKuu na ujumbe wake wamesha sign MoU na tetesi za mafuta ziko Zanzibar tangia waka 1958.
Teh teh teh!maneno ya viweni,ukweli ni kwamba Zanzibar hakuna mafuta ni ni nchi yenye rasilimali chache (Nchi Maskini) sana!
 
Walianza kubugia Viagra na Mkuyat kabla hawasain MoU na dem sasa wamekimbilia dukan kununua Mafuta mgando kupunguza hasira baada ya dem kuchomoa kusain mkataba!
 
Miaka michache iliyopita ilibaki tung'oane vichwa. Ooo mafuta si ya muungano aa mara ni yetu wote mara oo si yenu maadamu mabishano tu.Hivi wapendwa hayo mafuta Zanzibar yaliishia wapi? Bado yapo?

Nani alikwambia kuna mafuta. Kunywa maji ukalale, ukue
 
Wewe upo dunia gani? yale mafuta yetu mbona yanachimbwa, tena at a commercial scale, very economically viable project, sema tatizo linalotukabili ni kuwa, yakitoka tu juu ya ardhi yanageuka tindikali, basi tunaishia kumwagiana. Hujasikia hiyo habari yakhee?
 
Mafuta ya nini?

Zanzbar wanatengezza mafuta ya viungo (spices) zote uzijuazo na usizosijuwa.

Ikiwa una maana ya mafuta ya kuchimbwa, kazi imeanza na inaendelea na haina uhusiano wowote na Muungano.
 
Mkuu mafuta yenyewe yako mkondo wa nungwi(wenyewe wanasema nungwi kuna maji makubwa ha ha haa),sasa hi si ni habari ya kusadikika mkuu ha ha ha,haiwezi kuwa economically viable project kwenye kina kirefu cha nungu na mikondo yake mikali
mafuta ya nini?

Zanzbar wanatengezza mafuta ya viungo (spices) zote uzijuazo na usizosijuwa.

Ikiwa una maana ya mafuta ya kuchimbwa, kazi imeanza na inaendelea na haina uhusiano wowote na muungano.
 
ALOKUWA AKIYAPIGIA KELELE NI NAHODHA, ALIPOPEWA UWAZIRI KTK SERIKALI YA MUUNGANO, YAMEKOSA WA KUYAVALIA NJUGA.
SIELEWI KWA NINI WATU WACHOYO NAMNA HII. KABLA HAYAJAPATIKANA TAYARI WATU- "Yanguuu, yanguuuuuuu", ati si ya muungano? si myanywe basi!
Hatuyahitaji kaen nayo
 
Joto hasira ndo maana wanamwagiana tindikali siku hizi baada ya kugundua mafuta hamna.
 
Mafuta yapo, ndio maana shein ameanza kuzurura kama jk kwa ajili ya kutafuta wachimbaji, week hii alikuwa holland...
 
Hili suala la kuwepo mafuta Znz nimejaribu kutafuta details lakini kiukweli mpaka sasa sijaona info zozote za kusupport kama kuna mafuta Zanzibar, hata kama yapo sidhani kama yanatosha kuchimbwa kibiashara...nadhani ni mchezo mchafu wa wanaofanya wanasiasa kueneza tetesi kwa ajili ya manufaa yao au kwa sababu wanazozijua wenyewe.
 
Back
Top Bottom