Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 2,836
- 4,607
Ndio utakua umenidhulumu nafsi yako mwenyewe wakati ulikua na uwezo wa kuiokoa nafsi yakoNa ukifa na njaa wanasema ni dhambi kubwa
Ndio utakua umenidhulumu nafsi yako mwenyewe wakati ulikua na uwezo wa kuiokoa nafsi yakoNa ukifa na njaa wanasema ni dhambi kubwa
Muulize Faiza
Ahsante kwa taarifa. Ngoja nipitie kwa mangi hapo nikapate nusu kilo roast na Guiness ya baridiii...
Kitu wengi hawajui huyu mnyama ni kinga na tiba ya maradhi mengi sana .... Nami nasema tumle kwa wingi ili tuwe na afya njema
Kama unakula kwenye migahawa sasa hivi basi jua ushayala hayo mafutaHapa naimagine ubwabwa au chapati zilizopikwa kwa futa la kitimoto...
Dah!
Ipo siku utaokoka na utaondoka huko kwenye kukremu mamistari magumu magumu ambayo hayakusaidiiKwa maana hiyo hata Yesu kaja kwa ajili ya kizazi cha wana wa israel tu.
Amini upendavyo, upo huru.
Mafuta yapo nenda kwa wauza kitimoto, Lita sh 2000.Kuweni serious jamani, yanapatikana wapi???
Hahahah!yaan huna tofaut ya uchochez alionao mu USA kwa UkraineNi mkombozi tuyatumie huku tukikumbuka dini tumeletewa.
FaIza kasema Waangalie Wachaga akili zao!Mkuu unaweza kutusaidia with vivid examples watu waliodhurika Kwa kula nyama ya nguruwe kisa hiyo minyoo? Halafu ukabila hapa umeingiaji? Wewe ni kabila gani na nini hasa kabila lenu limewazidi wachaga?
Kama unakula kwenye migahawa sasa hivi basi jua ushayala hayo mafuta
Hata huku nilipo aisee!
Tunatumia vitu vya ajabu ajabu aisee!!!
Mafuta ya nguruwe, sabuni za mche made from home, .....
Usalama wa raia kiafya upo hatarini.
Hata kunuwiaHalafu ni mazuri sana kwa kufukuza mapepo na majini
Karibu kitimoto na ndz bibWacha Biblia iseme.
Mambo ya Walawi 11:
7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
Yesu alikula kitimoto? Mie namfata Yesu.Karibu kitimoto na ndz bib
Miaka 2000 iliyopita ,Walikuwa hawajui kumchoma😅Yesu alikula kitimoto? Mie namfata Yesu.
Ni mkombozi tuyatumie huku tukikumbuka dini tumeletewa.