mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Awali yalikua yalikua yanauzwa kwa Bei ya 7K kwa Lita tano, pamoja na bei ya sasa kua mara mbili zaidi ya Bei hiyo ya awali bado yanaonekana kua na Unafuu zaidi ya bei halisi ya Mafuta mengine kwa sasa.
Uzuri wa haya mafuta bana Hayaishi kwa Haraka, pia hayagandi.
Kwa sasa wanaucheza mwingi sana kutokana na hali halisi ya Ugumu wa Bei ya mafuta ya kupikia ilivyo kwa Sasa.
Uzuri wa haya mafuta bana Hayaishi kwa Haraka, pia hayagandi.
Kwa sasa wanaucheza mwingi sana kutokana na hali halisi ya Ugumu wa Bei ya mafuta ya kupikia ilivyo kwa Sasa.