Mafuta ya kupaka during sex act

Mafuta ya kupaka during sex act

......hehehh keshakwambia hakuna kitu hata akamue vipi,....

Hapo akiweka nyasi kavu si ajabu wakavumbua moto kabisaaa
Hahahahaha mkuu unamaanisha ulindi na uwimbonbo?? Ancient man made fire through friction
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Tumia saa moja KumcheZea mpenzi Wako ili mwili wake Utoe natural Lubricants then Mwanze kupiga Msungunyungu (kuegegedana)

Yaani saa nzima mnafanya kutafuta nye.ge tu! Hamna shughuli nyingine za kufanya? Hapo si hata wewe mwenyewe utakuwa umeishiwa hamu?
 
.....hahaha, kuna mtu alipapasa mkono gizani akakamua tube kumbe #SupaGlue banaa...

Hahahahahahahahaha!!!! Duh I don't want to imagine what happened after that! Duh!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ila ile maneno huwaga tamu inapotoa juisi yake ya asili na siyo hiyo man made ndugu yangu. Anza kumwandaaaa mapema kabla ya tendo, maji maji yaa asili ya ukeni yana raha yake bhaaaana unapoingiza uboooo.
 
Habari members,
Nina mpenzi wangu tatizo tukifanya mapenzi uchi wake mkavu sana namchubua na anaumia, tukaenda kwa daktari akatushauri tutumie mafuta ya sex oil. Sasa nauliza ni mafuta gani mazuri na yanapatikana wapi hapa dar?
Shukrani.

Nafikiri hapo kuna tatizo. Sidhani kama ni mbunye kavu, nikwamba hapati feellings na wewe wakati wa hilo tendo.

Jitahidi kumpandisha muhemuko zaidi utaona mambo yanakua bye
 
Tuwaeleweje ss nani ----- nani punguani nani shetani? Nyinyi hapa hapawafai nendeni shamba au visimu vya mchina vinawasumbua eeh?
 
Kwan umelazimishwa soma? Mbona upo juu juu kma customer care wa Tgo kitengo Min Kabaang?

...sasa kwa nini uliaandika? si uliktaka tusome then upewe ushauri?tatizo ndugu yangu naona hujielewi nini unataka.Advice ndio hiyo uwe na adab unapo-post thread zako.
 
Habari members,
Nina mpenzi wangu tatizo tukifanya mapenzi uchi wake mkavu sana namchubua na anaumia, tukaenda kwa daktari akatushauri tutumie mafuta ya sex oil. Sasa nauliza ni mafuta gani mazuri na yanapatikana wapi hapa dar?
Shukrani.

pole sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom