Mafuta ya kupaka during sex act

Mafuta ya kupaka during sex act

Habari members,
Nina mpenzi wangu tatizo tukifanya mapenzi uchi wake mkavu sana namchubua na anaumia, tukaenda kwa daktari akatushauri tutumie mafuta ya sex oil. Sasa nauliza ni mafuta gani mazuri na yanapatikana wapi hapa dar?
Shukrani.

Uwiiiiiiiiiiiiiiiii uyo doctor katisha sex oil
 
Huku wanatumia aina hii.

O3121.jpg
 
Msimzodoe sana jamaa mafuta ya kulainisha FUKUSHIMA yapo.
Wapo ambao hawawezi kutoa ute wao wenyewe hata wakiwapetiwa vipi.
Mafuta yapo na yanatumiwa na wengine hutumia kwa matumizi mengine kabisaaaaa.

Huku wanatumia aina hii.

O3121.jpg


India wanatumia hii hapa.
080jnhi23dha8g1.jpg
 
....-------,kwanza tuombe radhi wana-jf wenzako.kwanza wewe ni mzinzi,then unatuletea habari zako na huyo mpenzi wako,matendo yenu machafu ni Dhambi kubwa inayo mkasirisha M.Mungu,halafu wewe unatuomba tukueleweshe hayo mafuta yanapo-patikana hapa Dar,Ebo! unataka kutushirikisha katika huo uzunifu wenu?Dini zote zimekataza hili tendo kwa kua ni chafu na lina mghazibisha Mwenyezi Mungu,moja kati ya zile amri 10 inasema:usizini,kwenye Qur-an inasema "na wala tusiikaribie zinaa,kwa maana ni uchafu na ni njia mbaya"nakushangaa ndugu yangu unavyojifaharisha na tendo hili chafu.wewe kweli ni babu kijana.

Kwan umelazimishwa soma? Mbona upo juu juu kma customer care wa Tgo kitengo Min Kabaang?
 
Sisi wanawake ndio tunajya. Kama humpendi mtu unajilazimusha utakuwa mkavu maisha!!!!
 
Habari members,
Nina mpenzi wangu tatizo tukifanya mapenzi uchi wake mkavu sana namchubua na anaumia, tukaenda kwa daktari akatushauri tutumie mafuta ya sex oil. Sasa nauliza ni mafuta gani mazuri na yanapatikana wapi hapa dar?
Shukrani.

Kuna mambo mawili hapa:
1. Hujamwona daktari.... kwani maelezo yako yanatia shaka
2. Kuhusu suala zima la kulainisha uke, huitaji mafuta...unahitaji kutulia na mpira unapoingia kwenye kumi na nane....basi...acha papara
 
Hahaaa. Unanikumbusha Bwana Marwa Akirudi akiwa ametundika mtungi wa kutosha utamsikia akimwita mkewe ---- we mama Bhoke njoo nikurenge --- kwa hali hiyo lazima papuchi iwe kavu na ichubuke
 
Kuna wengine wakavu kwa sababu ya kukeketwa hao juice oil ni ndoto
Kama mpenzi wako anakuwa mkavu tafsiri yake simply ni kwamba hayuko tayari kuingiliwa.

Utalazimisha kwa kutumia Oil za sex za kila aina, but cha msingi ni kuwa mpenzi wako anatakiwa kumwaga zile juices spontaneously, au kwa hormonal activity, si kwa kulazimisha kwa jellies za dukani kwa wahindi.

Utayalazimisha maungo, lakini akili na willingness ya mtendewa inawaza pepeta zake shambani kule Mvomero.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom