Mafuta ya habat sawdat (Blackseeds oil )

Mafuta ya habat sawdat (Blackseeds oil )

Io black seed mimi naweza kuitolea ushuhuda kabisa.niliumwa mimi nikawavkama mgonjwa anaepooza.mwili unakakamaa hata kuvaa chupi nilikua siwezi.hospital zote nazunguka vipimo hakuna ugonjwa.ikawa natembea na panldo mfukoni,zikaanza kunikataa nikachukua flamer ili kupoza maumivu tu ya mwili .bahati nzuri nilikutana na rafiki yangu flani akanionea huruma akanielekeza hayo mafuta na asali namix ktk kifuniko cha dawa.yaan mill5 black seeds na mills 5asali.nikatumia week moja tu.nikapona kabisaa..yaan kabisa adi sasa niko mzima na ndani kwangu watoto wanakunywa io dawa wakianza kuandamwa na magonjwa ya kishenzishenzi.kwa kweli ni dawa haswa hii
 
Okey shukrani ngoja niende hapo sokoni Kariakoo zipo tele
 
OK.tuambieni inapatikana wapi kwa dar hapa.
 
Nenda kariakoo maduka ya kisuna stendi ya tegeta pale yapo meeengi sana tens bei nzuri kuliko mitaani wanatupiga sana mkuu
 
Mimi kwa nijuavyo ili ifanye kazi vizuri unaichanganya na asali tena ile asali ya nyuki wapole kwa walioathirika ndani ya miezi sita mpaka nane unakuwa umepona.......kwa watu wa allergy wakiichanganya na hii asali ndani ya miezi mitatu utaisaha allergy kabisaaaaa
Hiyo ya unga au ya mafuta?
 
Multiple Id's kazini
Jaribu kuitumia kwa tatizo lolote linalokusumbua alafu njoo utupe mrejesho.wewe nawe utakua shahidi na shuhuda na utawasaidia na wengine.mimi nilikua mbishi kama wewe,ila yaliponikuta nikawa mpole na nikapona.
 
Matumizi yake yakoje boss?
Kwenye dawa za watoto za kunywa kuna kifuniko kina vipimo ktk mill.chukua habat soda mills5+asali mills5 koroga uchanganyike unywe.kama ni kiafaya unashauriwa unywe asubuh kabla hujala kitu chochote na kama kuna shida inasumbua basi asubih na jioni kabla hujala kitu chochote.
Pia jitahidi kwa iko kipindi utumie sna vitu asili kama tangawizi,mdalasini iriki na vingene kana viungo.usisahau matunda.na epuka mavyakula yaliyosindikwa na mavinywaji ya kemikali.kama ni mnywaji wa pombe jipe likizo hata mwezi.matokeo utayaona
 
Kumekuwa ufafanuzi wa kutosha ! Nadhani huu ni ukumbi huru kila mtu anao mtazamo wake! Kama unaona yanayojadiliwa hapa hayakusaidii kwanini uwatusi wale ambao wanafaidika?

Heshimu maoni yao pia kama vile ambavyo wewe ungependa kuheshimiwa mawazo yako!


Wale ambao mtayatafuta kwenye maduka ya madawa asilia ninawashauri kuwa makini mtakapo kuwa mkiyanunua hasa katika suala la feki na halisi.
Mafuta halisi sio meusi na chupa yake huwa haijai mpaka juu.
Chini ya box la hiyo chupa kuna barcode ni vema ukaiscan ili ujiiridhishe kuhusu bei halisi na bei unayouziwa.!
Hapa chini kuna mfano wa chupa yenye mafuta halisi na feki yake.
tapatalk_1516265147568.jpeg
 
Back
Top Bottom