Nevergive up
JF-Expert Member
- Dec 24, 2024
- 541
- 832
Asante mkuuSafi sana !
Soon ila now nimeanza kawaida ila napochukulia ana TBS. Kifupi bado sijaanza kuchukua mzigo mkubwa hivyo nachukua mdogo kwanza kwa mtu mwenye TBSUshaenda TBS au unataka kufanya biashara kienyeji?
Bei kwa Dsm lita moja 8000Tsh, mkoani 7500TshBei kiasi gani?
Ujazo kiasi gani?
Unapatikana wapi?
Je, mkoani unatuma?
Mawasiliano?
Mimi nina kiwanda cha hayo mafuta.... Tunaweza fanya biashara.Bei kwa Dsm lita moja 9000Tsh, mkoani 7500Tsh
Ujazo nimeanza kwa lita 1 pia lita 5
Napatikana dar es salaam
Mkoan natuma
Mawasiliano +255612626420
TBS kama biashara yako ni ndogo, ni gharama sana.Ushaenda TBS au unataka kufanya biashara kienyeji?
Unafanya packaging?Mimi nina kiwanda cha hayo mafuta.... Tunaweza fanya biashara.
Kipo igunga tabora
8000 MkuuLita Moja 1 shiringi Elfu tisa9000?
Mbona gharama kubwa sana?......
Sawa MkuuMimi nina kiwanda cha hayo mafuta.... Tunaweza fanya biashara.
Kipo igunga tabora
Hapana mkuuUnafanya packaging?
Vipi mashudu ya alizeti unauzaje kwa taniMimi nina kiwanda cha hayo mafuta.... Tunaweza fanya biashara.
Kipo igunga tabora
Si kweliTBS kama biashara yako ni ndogo, ni gharama sana.
Hiyo nembo inalipiwa siyo chini ya 2M kwa mwaka.
Umesoma ukamuelewa? Yeye hakamui ananunua finished product anaenda kufanya packing na packaging.Vipi mashudu ya alizeti unauzaje kwa tani