Hajatoa offer yake, anasubiri toka Kwa seller, wewe kama ni Mdau, njoo inbox weka offer Yako Mezani...!Kuhitaji ni jambo moja sema ananunua sh ngapi kwa tani na kwa ubora upi
Kwa oda ya tani 2,500, details muhimu zinatakiwa ziwe clear kabla ya DM. Kwa mfano mafuta ya aina gani (refined au crude), kiwango cha ubora (TBS/ISO/HACCP), mzigo unaenda wapi, packaging (1L, 5L, bulk), na terms za malipo (LC, TT n.k).Unataka Details Gani ziongezeke Mkuu....!?
YeahKwa oda ya tani 2,500, details muhimu zinatakiwa ziwe clear kabla ya DM. Kwa mfano mafuta ya aina gani (refined au crude), kiwango cha ubora (TBS/ISO/HACCP), mzigo unaenda wapi, packaging (1L, 5L, bulk), na terms za malipo (LC, TT n.k).
Bila hizi ni ngumu kujua kama ni deal serious au kuna fala anatafutwa kupigwa.
Okay....!Kwa oda ya tani 2,500, details muhimu zinatakiwa ziwe clear kabla ya DM. Kwa mfano mafuta ya aina gani (refined au crude), kiwango cha ubora (TBS/ISO/HACCP), mzigo unaenda wapi, packaging (1L, 5L, bulk), na terms za malipo (LC, TT n.k).
Bila hizi ni ngumu kujua kama ni deal serious au kuna fala anatafutwa kupigwa.