Mafuta mazuri kwa uso wa mafuta

Mafuta mazuri kwa uso wa mafuta

leirilwa

Senior Member
Joined
Sep 18, 2015
Posts
118
Reaction score
22
Kwa wale wadada warembo au yeyote anayefahamu mafuta/lotion nzuri kwa uso wenye mafuta mengi anifahamishe
 
Tumia pond cream (very oil). Ni nzuri haikubadilishi rangi utavutia tu. Gudluck
 
Tumia pond cream (very oil). Ni nzuri haikubadilishi rangi utavutia tu. Gudluck
jamani ngozi yangu ni very sensitive sasa kati ya golden touch cream na pond cream ipi ni nzuri zaidi?
 
Mimi uso wangu una mafuta mengi.Natumia sabuni ya KOPACABANA kunawia uso,halafu natumia GOLDEN TOUCH CREAM.Uso wangu ni mzuri,na vitu hivyo hapo havichubui.nunua golden touch cream for oily skin.Halafu kila wiki,nunua mdalasini changanya na asali kisha paka usoni baada ya 30dk,osha.UTANIAMBIA!Mm ndo vi2 vyangu hivi!HUCHUBUKI
 
Mimi uso wangu una mafuta mengi.Natumia sabuni ya KOPACABANA kunawia uso,halafu natumia GOLDEN TOUCH CREAM.Uso wangu ni mzuri,na vitu hivyo hapo havichubui.nunua golden touch cream for oily skin.Halafu kila wiki,nunua mdalasini changanya na asali kisha paka usoni baada ya 30dk,osha.UTANIAMBIA!Mm ndo vi2 vyangu hivi!HUCHUBUKI

Hiyo si ndio mikorogo yenyewe hiyo.
 
Kwa wale wadada warembo au yeyote anayefahamu mafuta/lotion nzuri kwa uso wenye mafuta mengi anifahamishe

Anza kutumia poda ya Pond's ili kupunguza mafuta usoni kisha tafuta hydrating lotion for normal skin.
Hata lotion za Clere, Nivea, St. Ives, Brillare n.k. Zinatosha.

Kwa Consultancy na bidhaa bora unaweza ukatucheki S&E BEAUTY SOLUTIONS kama ukipenda.
0659528724
0784082847
 
hiyo si ndio mikorogo yenyewe hiyo.

sio mkorogo.ukienda kuoga unatumia sabuni ya kopacabana.ukimaliza tumia golden touch kupaka usoni.halafu wakati wowote ukiwa na muda tumia mchanganyiko wa mdalasini na asali iwe kama mask ya ngozi yako.kama vipi paka mwili mzima!huchubuki,ngozi laini,hata mabaka meusi&vipele yanandoka
 
Kwel ogopa kumtoa choz mwanamke maana utaondoa golden na pond zoote
 
Mimi uso wangu una mafuta mengi.Natumia sabuni ya KOPACABANA kunawia uso,halafu natumia GOLDEN TOUCH CREAM.Uso wangu ni mzuri,na vitu hivyo hapo havichubui.nunua golden touch cream for oily skin.Halafu kila wiki,nunua mdalasini changanya na asali kisha paka usoni baada ya 30dk,osha.UTANIAMBIA!Mm ndo vi2 vyangu hivi!HUCHUBUKI
Mimi uso wangu una mafuta mengi.Natumia sabuni ya KOPACABANA kunawia uso,halafu natumia GOLDEN TOUCH CREAM.Uso wangu ni mzuri,na vitu hivyo hapo havichubui.nunua golden touch cream for oily skin.Halafu kila wiki,nunua mdalasini changanya na asali kisha paka usoni baada ya 30dk,osha.UTANIAMBIA!Mm ndo vi2 vyangu hivi!HUCHUBUKI
Mimi uso wangu una mafuta mengi.Natumia sabuni ya KOPACABANA kunawia uso,halafu natumia GOLDEN TOUCH CREAM.Uso wangu ni mzuri,na vitu hivyo hapo havichubui.nunua golden touch cream for oily skin.Halafu kila wiki,nunua mdalasini changanya na asali kisha paka usoni baada ya 30dk,osha.UTANIAMBIA!Mm ndo vi2 vyangu hivi!HUCHUBUKI
 
Back
Top Bottom