Mafuru resigns from NBC

Mafuru resigns from NBC

smart guy who read the writing on the wall 'mene mene tekei'. who seeks equity must come with clean hands ....who is next in line?
 
Jamaa walimsimamisha baada ya kumsafisha na kumrudisha amewawahi, kiukweli amejitahidi kuijenga hii bank, ila pia msisahau kazi zoote kubwa nchi hii zimeshikwa na hawa mnaoita wawekezaji aka Makagasheki, sasa mzalendo akipewa kazi hukumbana na vikwazo na hujuma nyiiingi sana sana....

Namtakia kila la kheri bwana Mafuru huko anakokwenda. Amejitahidi sana kuiboresha NBC lakini naona makaburu hawajaridhika sana na waswahili wapika majungu nao hawajachoka kumfanyia fitna.
Ni bora sasa aondoke baada ya kuwa amesafishwa baada ya tuhuma zilizopelekea asimamishwe kazi.
 
...Inawezekana kuna mambo mengine zaidi ya mshahara wa juu ambayo hatuyajui yaliyomfanya aweze kufikia maamuzi ya kuachia ngazi kule NBC.

Yes the man is bold!, ila pia kwenye top executives kuna vita kati ya top prestige vs top money!. Kama ni kweli ameachia ut top wa NBC kwenda Puma Energy kwa sababu tuu ya Top salary, then its a less prestigious company compared to NBC!, NBC is giant!. Sitashaangaa maana hata yule mama Mwambenja aliyekuwa the first woman MD wa Exim Bank, ameachia na kuwa MD wa kibenki fulani kipya cha wanawake kimeanzishwa!.
Although money is everthing, sometimes its not everything!.
"The Guilt Always Are Afraid!"
All the Best kwa Mafuru on his new endeavors!.
Merry X-mass & Prosperous New Year!.
Pasco
 
Nenda Mafuru ukale fedha za mafuta. Hawa makaburu wanataka kumuweka kaburu mwenzao kwahiyo wakaamua kukutengenezea zengwe ili kukuharibia CV yako.
Maisha popote mwanawasu, taaluma yako na uzoefu ulionao si wa kukufanya uwe mnyonge hata mara moja.
 
I personally would have done the same after the allegations!!
It is really high time to leave. Nasikitika kwa hali hii kwa kuwa Mafuru namjua sana. Tulikuwa wote IFM na alikuwa best student mwaka 1998. Kiiuwezo sina shaka naye ila haya mengine ni mapito ya Kimaisha tu. Kila la heri bro.
 
Habari ambayo bado haijathibitishwa ni kwamba NBC imenunuliwa na BARCLAYS BANK na serikali imeuza hisa zake zote na ABSA nao wameuza hisa zao zote kwa BARCLAYS. Tusubiri muda utaamua. Kwa hiyo Mafuru amejiondoa maana anajua kinachoendelea
 
NAKUPONGEZA sana kwa uamuzi huo,Walitaka kukuharibia Credibility yako,Acha nao kaka,Songa Mbele,Mungu atakupa nafasi ya jambo jema jingine.NA HUO NDIO UANAUME,UZALENDO ,NA UTANZANIA .
 
Hivi karibuni alisimamishwa then akarudishwa, inawezekana ile skendo ilikuwa bado haijaisha au haya ni maamuzi huru???
 
Sure! siku zote walikua na visa card na ATM zinazopokea visa, uko sahihi mkuuu pengine you are too reluctant to see changes
mimi kama mteja sijaona mabadiliko yoyote anayosema or the so-called achievements, i guess i am just too reluctant to 'see' kivazi cha mfalume/
 
Yes the man is bold!, ila pia kwenye top executives kuna vita kati ya top prestige vs top money!. Kama ni kweli ameachia ut top wa NBC kwenda Puma Energy kwa sababu tuu ya Top salary, then its a less prestigious company compared to NBC!, NBC is giant!. Sitashaangaa maana hata yule mama Mwambenja aliyekuwa the first woman MD wa Exim Bank, ameachia na kuwa MD wa kibenki fulani kipya cha wanawake kimeanzishwa!.
Although money is everthing, sometimes its not everything!.
"The Guilt Always Are Afraid!"
All the Best kwa Mafuru on his new endeavors!.
Merry X-mass & Prosperous New Year!.
Pasco

Mama Mwambenja ni MD aw benki ya covenant Bank for Women ambapo essentially ni Kama benki yake coz ni major shareholder pale so ni manager aw benki yake!
 
Siku zote mimi naamini mtu aki resign baada ya kupata allegation anakuwa ametoa mfano mzuri wa kiongozi bora kama vile mheshimiwa Lowasa alipojiuzuru wakati wa skendo ya richmond ilikuwa ni hatua na mfano wa kuigwa sio kama wengine wanaosubiri kufukuzwa
 
Habari ambayo bado haijathibitishwa ni kwamba NBC imenunuliwa na BARCLAYS BANK na serikali imeuza hisa zake zote na ABSA nao wameuza hisa zao zote kwa BARCLAYS. Tusubiri muda utaamua. Kwa hiyo Mafuru amejiondoa maana anajua kinachoendelea

Tehteh! Wameuza hisa zote wamelipa DENI la RADAR? Umesahau kuwa RADAR ulikuwa ni mkopo toka BARCLAYS ? Naona tumeamua kuwapa Benk kufidia deni, lakini huu ni Umbululaa kwanini wasifanye kama NMB then wause hisa kwa watu na Mashirika?
 
Siku zote mimi naamini mtu aki resign baada ya kupata allegation anakuwa ametoa mfano mzuri wa kiongozi bora kama vile mheshimiwa Lowasa alipojiuzuru wakati wa skendo ya richmond ilikuwa ni hatua na mfano wa kuigwa sio kama wengine wanaosubiri kufukuzwa

Tehteh! Hivi ALI STAAFU au ALIJIUZURU ?
 
Ni ngumu kufanya kazi kwenye kampuni ambayo iko owned na makaburu kwenye top level kama alivyokuwa Mafuru na ukabaki salama,maana hakuna watu wenye majungu na fitna kama makuburu! Ninafurahi kwamba unaondoka ukiwa umesafishwa jina lako na ni imani yangu kuwa utafanikiwa sana katika chochote utakachokifanya na kokote utakakokwenda!
 
Back
Top Bottom