Mafuru resigns from NBC

Mafuru resigns from NBC

Sure! siku zote walikua na visa card na ATM zinazopokea visa, uko sahihi mkuuu pengine you are too reluctant to see changes

acha mawazo mgando uitaka uwekewe ATM chumbani kwako iliujuwe kuwa ni mabadiriko kenge nini?
 
Habari ambayo bado haijathibitishwa ni kwamba NBC imenunuliwa na BARCLAYS BANK na serikali imeuza hisa zake zote na ABSA nao wameuza hisa zao zote kwa BARCLAYS. Tusubiri muda utaamua. Kwa hiyo Mafuru amejiondoa maana anajua kinachoendelea

NBC haijanunuliwa na Barclays ila ABSA imenunua Barclays Bank Africa,hivyo basi wote (NBC & Barclays Tanzania) zipo chini ya ABSA ambayo ndio benki mama inaayo miliki NBC 55%, at present NBC wapo kwenye restructuring hivyo Mafuru alikuwa anapigwa chini muda sio mrefu..ameamua kukwepa hilo nakuokoa image yake kwa public..Nampongeza Sana kwa Hatua hiyo ya kiungwana.
 
Sure! siku zote walikua na visa card na ATM zinazopokea visa, uko sahihi mkuuu pengine you are too reluctant to see changes
nice observation/
En contraire, mimi hizo debit cards hata mimi nimezisikia, ila sikuchukua maana sikuona mantiki kua na debit card while it take 30-90 minutes just to complete basic banking transaction like to deposit some funds in my account. At least I can maintain my CRDB debit card, maana I can recharge my account through M-PESA or Airtel Money, and confirm my balance online which sounds like magic in Tanzanian standards ! (Though I'm still looking for better service provider)
 
benki inayofata misingi ya kiislam

Sasa wewe hiki ndo umeandika nini, kama hujui si Unyamaze tu! NBC ina dirisha linalotoa shughuli za kibenki zinazofuata sharia! Pia zipo KCB, Stanbic, PBZ, Habib Bank etc. Pia kuna Amana Bank ambayo ni Fully Fledged Sharia Compliant Bank!
 
nice observation/
En contraire, mimi hizo debit cards hata mimi nimezisikia, ila sikuchukua maana sikuona mantiki kua na debit card while it take 30-90 minutes just to complete basic banking transaction like to deposit some funds in my account. At least I can maintain my CRDB debit card, maana I can recharge my account through M-PESA or Airtel Money, and confirm my balance online which sounds like magic in Tanzanian standards ! (Though I'm still looking for better service provider)

Yeah, its true, na siyo suala la kupiga debe, CRDB Debit Cards (Visa na Master Cards) are the best so far. NBC Master Cards bado sana hata huduma za kibenki NBC bado zipo zile tunazoita za kizamani!
 
NBC haijanunuliwa na Barclays ila ABSA imenunua Barclays Bank Africa,hivyo basi wote (NBC & Barclays Tanzania) zipo chini ya ABSA ambayo ndio benki mama inaayo miliki NBC 55%, at present NBC wapo kwenye restructuring hivyo Mafuru alikuwa anapigwa chini muda sio mrefu..ameamua kukwepa hilo nakuokoa image yake kwa public..Nampongeza Sana kwa Hatua hiyo ya kiungwana.

Point of Correction mkuu, Barclays ndo imenunua majority shares za ABSA! Kwa maana hiyo, both NBC na Barclays Tanzania ni Subsidiaries za Barclays Bank. Kwa lugha ya kitaalam tunasema Barclays ina own NBC indirectly.
 
safi sana mafuru .... Maamuzi mazuri...... Kila la heri on your new lyf...........

alikuwa anaua nbc, aliingiza vijana hawana uwezo kutoka bank aliyokuwa mwanzo!!! Hana uwezo aliwekwa na wazungu tu yule. Nchi hii mtu ukiharibu unawahi kujihudhuru
 
Tanzania safari ni ndefu, je pesa alizomkopesha msechu wa NHC zitarudije sisi kama wateja?? Na je mwajua kuwa hii bank iko managed SA, hamieni bank za ndani hapa hapa achaneni na bank za makaburu, ipo siku mtalia, ATM zote wanamage SA,% kubwa ni makuburu ndio wamewekeza kwa hiyo kama wewe ni mteja hamia CRDB, Azania, DCB na MKombozi bank, bank hizi ni za wazawa
 
Yeah, its true, na siyo suala la kupiga debe, CRDB Debit Cards (Visa na Master Cards) are the best so far. NBC Master Cards bado sana hata huduma za kibenki NBC bado zipo zile tunazoita za kizamani!
CRDB has to do more,mkuu. Online banking yao wangeiongezea facilities kama fixed account (not active for now) na kutuma pesa kwa accoutn ingine ya CRDB (at least kwa kuanzia), huudma ya kuangalia salio na kuona statements wanazotoa hivi sasa bado ni vitu basic sana, hata hivo ninavoviomba waongeze it is still very basic. They have to do more and be more aggressive/
 
mmhm kwa taarifa za ndani zinadokeza kuwa tuhuma alizotuhumiwa nazo zina ukwel kwa kiasi kikubwa ila kutomharibia heshima yake mbele ya jamii ndo wakakubaliana kuwa wamrudishe alaf baadae aache kazi akishapata sehem nyingne. ukitaka kujua ukweli juu ya hili ni kuwa toka baada ya kurudishwa ofcn alikuta ABSA wamemleta acting MD mzimbabwe Mafuru alikuwa ni kama anakabidhi ofc na taarifa zilizopo ni kuwa amepata kaz kampuni kubwa ya mafuta iliyobadisha jina hvi karibun! lets wait n kama hatoanza kazi hyo mpya kama MD kwny hiyo kampun ya mafuta! nawasilisha

Mi mwenyewe nilihisi kitu kama hichi. Hawa wawekezaji ni wajanja sana. Mambo mengine ki-utawala ni lazima uangalie na upepo hasa kisiasa. NBC ni moja ya benki zinazoonekana mbele ya jamii kama 'benki za kizawa' japo si kweli. Hivyo kumfukuza mtanzania wa kwanza kuongoza benki hii ingekula kwa NBC, ABSA na Barclays kwa ujumla kwamba ni benki za wageni hivyo hawathamini vipaji toka ndani. Hii ingewapunguzia hata wateja.

Sisemi Mafuru alikuwa mchafu ila kusimamishwa kwake kazi kulikuwa na hisia tofauti tofauti. Wapo waliosema alikuwa mchafu lakini pia wapo waliosema kwamba alimfukuza mmoja wa maofisa waandamizi mgeni bila kumpa muda wa kutosha (reasonable notice) jambo ambalo wakubwa wake hawakulipenda.

Whatever the case, namuombea apate kazi nzuri sehemu nyingine. Unajua bwana hivi vyeo vikubwa ni vizuri ukiwa nacho, kikiota nyasi kukipata tena ndo kazi. Wengi wanaishia kuwa frustrated, nenda kamuone Heri Bomani. Kama isingekuwa kusafiria nyota ya familia mambo yangekuwa mabaya kwake!
 
Alichofanya mafuru ni kuzidi kuwakamua wateja!!
Hivi wateja wa nbc mnajua kuwa unapoingiza hiyo kadi kwenye atm na kuweka password tayari unaliwa service charge bila kujali ulitoa fedha au ulikuta atm haina fedha? kibaya zaidi siku hizi atm hazisemi kama hakuna pesa!
 
mmhm kwa taarifa za ndani zinadokeza kuwa tuhuma alizotuhumiwa nazo zina ukwel kwa kiasi kikubwa ila kutomharibia heshima yake mbele ya jamii ndo wakakubaliana kuwa wamrudishe alaf baadae aache kazi akishapata sehem nyingne. ukitaka kujua ukweli juu ya hili ni kuwa toka baada ya kurudishwa ofcn alikuta ABSA wamemleta acting MD mzimbabwe Mafuru alikuwa ni kama anakabidhi ofc na taarifa zilizopo ni kuwa amepata kaz kampuni kubwa ya mafuta iliyobadisha jina hvi karibun! lets wait n kama hatoanza kazi hyo mpya kama MD kwny hiyo kampun ya mafuta! nawasilisha

NBC customer care mboffuuu, Market responsiveness iko chini sana! Haya mafanikio anayasema kama namna ya kujionyesha kwa watu kwamba yuko fit na hajali. Mbwembwe tu, majidai na ukorofi wa watani zangu wakati utawala bora ni zero . Yeye kachemka akubali na akajirekebishe kule anakwenda. Maneno mengii na kujisifu kafanikisha bila kuulizwa ni dalili kwamba anafuta aibu. Siku zote mafanikio si ya moyoni mwa mtendaji. Yalipaswa yaonekane na waseme wengine. Si yeye.
 
Back
Top Bottom