Mafuru: Knowledge is knowing what to say...

Mafuru: Knowledge is knowing what to say...

Moja ya semi bora kuwahi kutokea kutoka kwake
Sidhani..nafikiri hajui alichoandika..kwa tafsiri yangu..hiyo mistari ya mwisho amejipiga kijembe..kwamba ameshindwa kutumia busara zake kuchagua mahali pa kuongea/ kusema hicho alichosema ambacho kimekuwa catalyst ya kuondolewa kwake..ni maoni yangu tu.
 
Kama jamaa kamwaga mboga anasubili nini kumwaga ugali
 
1481221930329.jpg
 
Akwende zake hapa, hata ningekuwa mim ningemtimua, wewe bosi alishasema pesa zetu zisiwekwe FDA, hiyo ilikuwa ni amri kutoka kwa raisi, sasa nyie na kakundi kenu mkasahau kwamba rais wa sasa hivi hana site mirror.
Yani nikikumbuka pesa za tegeta escrow zilivyotoka BOT zinanipa hasira mtu anapotokea na kusema FDA haiwezi kuliwa!!
 
Kwenye ukurasa wake wa Twitter ameandika

" Knowledge is knowing what to say, wisdom is knowing when to say"

Chanzo: Azam news
vingereza vya IFM navyo hivi shida tu. tupa kule. kwahiyo hiyo ndio kukopy na kupaste toka wapi?
 
Big hand to Mafuru! Benno dont wait the order from above just resign!
 
Jamaa hata Kiswahili alikuwa ameshasahau kabisa. Japo tayari ni bilionea lakini pengine hii itamkumbusha angalau kujifunza lugha yetu ya taifa na kuiongea ipasavyo hasa anapokuwa mbele ya vyombo vya habari vyenye hadhira kubwa.

Na anavyoendelea kurusha vijembe hivi ni kweli ana wisdom kama anavyodai?
 
Jiwe waliokataa waashi sasa limekua jiwe kuu la pembeni..
 
Akwende zake hapa, hata ningekuwa mim ningemtimua, wewe bosi alishasema pesa zetu zisiwekwe FDA, hiyo ilikuwa ni amri kutoka kwa raisi, sasa nyie na kakundi kenu mkasahau kwamba rais wa sasa hivi hana site mirror.
Yani nikikumbuka pesa za tegeta escrow zilivyotoka BOT zinanipa hasira mtu anapotokea na kusema FDA haiwezi kuliwa!!
Alafu huyo mtu ndio yuleyule ambae 2015 alikuwa akiimba mabadiriko. Aibu hii!
 
Ukisoma na kupata GPA yako kihalal raha sana...unakuwa huogopi...unamchallenge ata boss wako sio wale walioungaunga elimu...chuon GPA za chabo
Sasa hiyo misemo yake inasaidia nini? Nani ana mda nayo. Yeye keshatumbuliwa aache kuweweseka
 
Kwenye ukurasa wake wa Twitter ameandika

" Knowledge is knowing what to say, wisdom is knowing when to say"

Chanzo: Azam news

Vipi kuhusu 'how to say it'? Halafu 'knowledge' is knowing (plausible explanation) au kwa maneno mengine in 'ukweli' au 'karibu na ukweli'.
 
Kwenye ukurasa wake wa Twitter ameandika

" Knowledge is knowing what to say, wisdom is knowing when to say"

Chanzo: Azam news

EDUCATION is knowing WHERE to say it!! this was his ultimate undoing; pole Law Mafuru!
 
Watu weledi ni wale wanaojua kabla matokeo ya matamshi / matendo yao ktk jamii wanamoishi!
 
Back
Top Bottom