BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,371
- 6,876
Sidhani..nafikiri hajui alichoandika..kwa tafsiri yangu..hiyo mistari ya mwisho amejipiga kijembe..kwamba ameshindwa kutumia busara zake kuchagua mahali pa kuongea/ kusema hicho alichosema ambacho kimekuwa catalyst ya kuondolewa kwake..ni maoni yangu tu.Moja ya semi bora kuwahi kutokea kutoka kwake