Mafuru: Knowledge is knowing what to say...

mmmh
 

Attachments

  • FB_IMG_1481222381322.jpg
    FB_IMG_1481222381322.jpg
    18.1 KB · Views: 28
Napitaatuu
 

Attachments

  • FB_IMG_1481222275646.jpg
    FB_IMG_1481222275646.jpg
    18.1 KB · Views: 31
Ni mpuuzi sana na andiko lake ni kutokana na kupanic. Kama wisdom ni knowing when to say basi namshauri siku nyingine aongeze na 'where' to say it. Yeye kama ni wiser enough basi alitakiwa ajue alikokwenda kutolea tuhuma zake haikuwa sehemu sahihi kwa nafasi aliyonayo. Alikuwa kama refa anayechezesha mpira kwa kuwafata mashabiki wakati yeye ana kanuni zinazomuongoza. Asijionesha kihiyo kiasi cha kushindwa kujua kwamba taratibu za kazi zina communication frame work serikalini, na taasisi ya umma haindeshwi kama unavyoongoza nyumbani kwako.

Sitaki kusema sana lakini kama kweli ni msomi basi namkumbusha akaisome upya kozi ya Public Administration na Management.
 
Hivi wanaposema "atapangiwa kazi nyingine si huwa wanaendelea kula vinono vya nchi?" Sasa kama anaendelea kuvuta mshahara kelele ya nini? Ila maumivu ni pale unapokosa hata kiti cha kukalia sijui unakuwa unazungukazunguka kwenye corridor?
 
Ukisoma na kupata GPA yako kihalal raha sana...unakuwa huogopi...unamchallenge ata boss wako sio wale walioungaunga elimu...chuon GPA za chabo
GPA halali sio ujasiri. Wapo wasomi kibao na GPA zao halali waoga sana. Ni ujasiri tu wa mtu mkuu.
 
Sidhani..nafikiri hajui alichoandika..kwa tafsiri yangu..hiyo mistari ya mwisho amejipiga kijembe..kwamba ameshindwa kutumia busara zake kuchagua mahali pa kuongea/ kusema hicho alichosema ambacho kimekuwa catalyst ya kuondolewa kwake..ni maoni yangu tu.
We ndio umekosea!
 
Akwende zake hapa, hata ningekuwa mim ningemtimua, wewe bosi alishasema pesa zetu zisiwekwe FDA, hiyo ilikuwa ni amri kutoka kwa raisi, sasa nyie na kakundi kenu mkasahau kwamba rais wa sasa hivi hana site mirror.
Yani nikikumbuka pesa za tegeta escrow zilivyotoka BOT zinanipa hasira mtu anapotokea na kusema FDA haiwezi kuliwa!!
Escrow hiyo ambayo magufuli anailipa hadi leo
 
Mafuru has very limited knowledge of even to understand the concept of knowledge itself.

Knowledge also means someone who has awareness and consciousness.

Awareness in terms of perception of situation or facts. he mentioned government institutions that have surplus (which are own source of revenue he gave example of SUMATRA) which they can use to place it on FDAs.

He should have gone on to emphasise in that Morning Show, difference between these surplus and the revenue generated from tax collection (in case of TRA) which were used to open the FDAs.

He also lacks knowledge of consciousness which means at that particular subject he was talking about, he didn't have executive control system of his mind which would alert him of the sensitiveness of the matter and any cautious response to it.

That was the reason the newspapers and other news outlet were able to distort the facts regarding what actually the president meant on using FDAs for government agencies.

Mr Mafuru also lacks the knowledge in terms of acknowledging the facts about the existence, validity and legality of the fifth phase government of president Magufuli and it commitment towards controlling public expenditure to match its revenues.

He lacks class, and he should have known better and he failed and the only way forward is to step aside.
Thank you for telling us nothing.
 
Sidhani..nafikiri hajui alichoandika..kwa tafsiri yangu..hiyo mistari ya mwisho amejipiga kijembe..kwamba ameshindwa kutumia busara zake kuchagua mahali pa kuongea/ kusema hicho alichosema ambacho kimekuwa catalyst ya kuondolewa kwake..ni maoni yangu tu.

What if he actually knew anatumbuliwa, so he decided to say it? Right now everyone think alitumbuliwa kwa kauli yake, nothing else. If so it means he is very wise because he knew when to say it.
 
HII MIJIITUU ILIZOEAA ITAISHII MADARAKANI MILELE IMEFIKAMDAA WAACHIE WENZAKE ALLAH AANDIKE HUKUU AKISUBIRI KAZI NIYNGINE


AJUEE HATA UCHUNGUZI N KAZII NYINGINE
Hivi MADARAKA na UTUMISHI ni sawa? nauliza tu
 
Sidhani..nafikiri hajui alichoandika..kwa tafsiri yangu..hiyo mistari ya mwisho amejipiga kijembe..kwamba ameshindwa kutumia busara zake kuchagua mahali pa kuongea/ kusema hicho alichosema ambacho kimekuwa catalyst ya kuondolewa kwake..ni maoni yangu tu.
Nilivyomwelewa,our president lacks both knowledge and wisdom.He just spoke the issue of FDA in a layman's thought.(Knowledge is knowing what to say&Wisdom is knowing when to say)
 
Back
Top Bottom