Hapana, sikubaliani na evolution inayo state kwamba over time wanyama hubadilika a la kutoka nyani (no pun intended) hadi binadamu.
Ukishakubali kwamba bacteria katika miaka 20 wanaweza ku develop resistance kwa antibiotics, mabadiliko hayo hayo ukiyapa a few billions of years yanabadili microorganism kuwa watu. The fundamental principle is the same, the difference is just scale. A few years produces minuscule and hardly detectable changes, a few billion years changes some microorganism into higher life forms.
Hayo mabadiliko yanayochukua mabilioni ya miaka ndiyo ninayokataa mimi. Ona hata terms zinazotumika...'millions'...'billions'. Come on now...science is all about specificity.
Within billions there are millions, and evolution is a gradual process, so you would take millions of years from one step to the second, a hundred million years to go to another stage and a few billions to leap from single celled organism to a developed lifeform.
And science is not about specificity, it is rather about the pursuit of specificity. The quantum symmetric of Heisenbergs Uncertainty Principle as manifested in the asymptotic wave particle duality prevents specificity to a specific level, and the study of all phenomena at the Planck scale (Where is Planckscale when you need him?).
Nadhani H1N1 kalijibu vizuri tu hili. Tatizo linaweza kuwa labda wewe (sio wewe as a person) una limited knowledge ya complexity na diversity ya hao bacteria na kudhani kwamba wote wako sawa wakati yawezekana kabisa isiwe hivyo.
Wapi nimesema wote wako sawa? Kama wote wangekuwa sawa si wote wangeuawa na dawa moja? Mimi ninachosema ni kinyume kabisa ya unachosema nasema.
Wewe unasema mimi nafikiri kwamba wote wako sawa.
Wakati mimi nakwambia kwamba, sababu inayofanya wengine wauawe na dawa na wengine wabakie kuzaa wenye resistance zaidi precisely because wote hawako sawa na kuna wengine wana tofauti katika DNA zao. I gave you the Wiki with all that info. Evolution rests largely on random mutation, which, being random, is surely guaranteed to produce different strains of the same species.
Utasemaje nasema kwamba wote wako sawa? Nini kinakufanya ufikiri hivi?
In human terms we call this stereotyping. Characteristic stereotyping to be exact.
All of science is stereotyping and calibrating. When you write a mathematical equation that's stereotyping right there. When you write a chemical equation that's stereotyping right there.Your biological taxonomy is stereotyping.
Characteristic stereotyping is not always a good thing. The periodic table is nothing but characteristic stereotyping.The problem is you are biased by focusing on the negative aspect of characteristic stereotyping without knowing that without it you wouldn't be using the internet today. The internet runs on technologies that are founded in a science that was built out of characteristic stereotyping.
The notion that all stereotyping is bad is itself a bad stereotyping of stereotypes.
Hundred million years...oh my!
Or even fiddy for that matter in this bidniz.