Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
Wanaoanza wanapewa mshahara kiduchu huwezi amini,hiyo laki tano ni mishahara ya miezi miwili kinachosaidia ni lesheni wanayopewa katikati ya mwezi .
watu hawalingani katika mapato !......kuna wengine huo mshahara wako wa sasa, kwao ni makato ya NSSF !