Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 596
Wakuu nauliza mahali wanapofundisha karate. Kuna kijana wangu nataka nimpeleke akajifunze. Ningependa iwe maeneo ya Ubungo lakini hata sehemu nyingine sio mbaya
Maeneo ya postaa karib na aga khan hospital kuna jamaa anaitwa ruta
Maeneo ya postaa karib na aga khan hospital kuna jamaa anaitwa ruta
Wewee Pale Rusian Culture ndipo wanafundisha karate ya ukweli na sio street Karate kama wanavyofundisha maeneo mengine.Huyu jamaa namjua sana, yupo kituo cha Utamaduni cha Urusi. Alichonikera alisema anafundisha mara 3 kwa wiki.
nawashkuru kwa taarifa, je mpka kufikia mkanda mweus inaweza chukua mda gani? na bei yke ikoje?
nawashkuru kwa taarifa, je mpka kufikia mkanda mweus inaweza chukua mda gani? na bei yke ikoje?
Wewee Pale Rusian Culture ndipo wanafundisha karate ya ukweli na sio street Karate kama wanavyofundisha maeneo mengine.
Kuhusu mara3 kwa wiki hiyo inatosha kabisa kumfanya mwanafunzi kuwa fit kwani kila step anayofundishwa mwanafunzi anatakiwa aka'practice mwenyewe akiwa nyumbani.
njoo tabata bima nitafute sempaye simba wa taranga mimi ni mtaalam wa shoto khan nia dani 12. bure
I mean uje nikufundishe bure.Habari yako haijitoshelezi mkuu
njoo tabata bima nitafute sempaye simba wa taranga mimi ni mtaalam wa shoto khan nia dani 12. bure
asante mkuu, wushu?!!!!!oooooh sensei Simba.nakupata mkuu. Karibu Dojo la Urafiki tupige Wushu.
asante mkuu, wushu?!!!!!
asante mkuu, wushu?!!!!!
oooooh sensei Simba.nakupata mkuu. Karibu Dojo la Urafiki tupige Wushu.
Wakuu nauliza mahali wanapofundisha karate. Kuna kijana wangu nataka nimpeleke akajifunze. Ningependa iwe maeneo ya Ubungo lakini hata sehemu nyingine sio mbaya
Mkuu wush, Taikwond n.k yanahitaji umri gani? Maana sasa kwa hali ilivyo inabidi tujifunze hayo madudu kwa ulinzi binafsi! Yaani mpaka Wabunge wanacharangwa kama nyama buchani? Hali siyo hali Kitaa!