Mafunzo ya karate

Mafunzo ya karate

Achana Nao hao Kijana Njoo Tukufundishe COMBAT KARATE ambayo Hizo Zote za Kipuuzi puuzi Ulizozitaja au Walizozitaja Wenzio Zimejumuishwa Ndani na Uzuri wa Hii Si Ya Kujeruhi tu bali Hii Ukigusa tu Umeua na Uwe Tayari Kupiga Kupasua Jiwe Kwa Kichwa, Kupiga Ngumi ktk Metalic Punching Bag, Kupiga Msamba ktk Chupa za Bia au za Soda, Kufunga Kunya ( HAJA KUBWA ) kwa Miezi Mitatu, Kuweka Viganja Vya Mikono Yako ktk Mchanga wa Moto Mkali Sana ili Kuondoa Ganzi, Kukata Mti Kwa Kupiga Kwa Sehemu Ya Ugoko Ya Miguu Yako, Kuruka Sarakasi za Kila Aina, Kuruka Kutoka ktk Ghorafa Ya Kuanzia Ya Pili au Ya Tatu Miguu Peku ili Kukomaza Kisigino na Mguu Wako na Mwisho Kabisa Uwe Tayari Kupambanishwa na Chui Chumbani Kwa Dakika 15 tu na Ukifa Shauri Yako! Jiandae Pia Kwa Mazoezi Ya Kupasha Mwili Kila Siku Kwa Kukimbia kutoka Dar hadi Chalinze Kwa Spidi Kali na Hakuna Kusimama au Kuzunguka Uwanja wa Mpira Mara 500 Kwa Spidi Kali na Kubwa. Hiyo Ndiyo Combat Karate na Contents zake ndiyo Hizo na Ukihitaji Hiyo Kozi Nitafute ili Nikufanyie Interview Ya Kwanza tu Ambayo ni Ya Kupima URIJALI wako ambapo UTATAKIWA KUSIMAMISHA CHUPA YA MAJI KUBWA YA KILIMANJARO ktk UUME WAKO ( MBOO YAKO ) KWA DAKIKA 5 tu na Ukishindwa hiyo Interview Ndogo tu na Nyepesi basi Hutakuwa na Sifa Ya Kujumuika Nasi ktk Combat Martial Arts Training na Tutakushauri tu Uendelee na Hao akina Sensei Wenu na Karate Zenu za Kishoga.
 
Achana Nao hao Kijana Njoo Tukufundishe COMBAT KARATE ambayo Hizo Zote za Kipuuzi puuzi Ulizozitaja au Walizozitaja Wenzio Zimejumuishwa Ndani na Uzuri wa Hii Si Ya Kujeruhi tu bali Hii Ukigusa tu Umeua na Uwe Tayari Kupiga Kupasua Jiwe Kwa Kichwa, Kupiga Ngumi ktk Metalic Punching Bag, Kupiga Msamba ktk Chupa za Bia au za Soda, Kufunga Kunya ( HAJA KUBWA ) kwa Miezi Mitatu, Kuweka Viganja Vya Mikono Yako ktk Mchanga wa Moto Mkali Sana ili Kuondoa Ganzi, Kukata Mti Kwa Kupiga Kwa Sehemu Ya Ugoko Ya Miguu Yako, Kuruka Sarakasi za Kila Aina, Kuruka Kutoka ktk Ghorafa Ya Kuanzia Ya Pili au Ya Tatu Miguu Peku ili Kukomaza Kisigino na Mguu Wako na Mwisho Kabisa Uwe Tayari Kupambanishwa na Chui Chumbani Kwa Dakika 15 tu na Ukifa Shauri Yako! Jiandae Pia Kwa Mazoezi Ya Kupasha Mwili Kila Siku Kwa Kukimbia kutoka Dar hadi Chalinze Kwa Spidi Kali na Hakuna Kusimama au Kuzunguka Uwanja wa Mpira Mara 500 Kwa Spidi Kali na Kubwa. Hiyo Ndiyo Combat Karate na Contents zake ndiyo Hizo na Ukihitaji Hiyo Kozi Nitafute ili Nikufanyie Interview Ya Kwanza tu Ambayo ni Ya Kupima URIJALI wako ambapo UTATAKIWA KUSIMAMISHA CHUPA YA MAJI KUBWA YA KILIMANJARO ktk UUME WAKO ( MBOO YAKO ) KWA DAKIKA 5 tu na Ukishindwa hiyo Interview Ndogo tu na Nyepesi basi Hutakuwa na Sifa Ya Kujumuika Nasi ktk Combat Martial Arts Training na Tutakushauri tu Uendelee na Hao akina Sensei Wenu na Karate Zenu za Kishoga.

Duh...! ulikoamkia ndugu.....duh... haya bwana. wenye uwezo watakuja kujifunza kwako.
 
Martial arts haifundishwi kwa mihula kama shule ya sekondari! Ni process ambayo uwezo wako wa kuelewa na kumudu ufundishwayo ni kigezo kikuu katika kupata hiyo MIKANDA unayoitamani kama mkufu wa kununua dukani🙂

Nidhamu yako, jitihada yako na umakini wako uwapo Dojo (darasani) ndiyo kileta MKANDA MWEUSI uutakao.

Free advice kama unautafuta mkanda huo kwa ajili tuu ya CV yako mtaani kutisha wenzio; TAFAKARI TENA..

Umemaliza nilichotaka kusema kwa bwana mkubwa Foundation Lkn kwa vile ushauri ni wa bure nami nta ongezea kdg.Mkuu Foundation unataka kumpeleka kijana kwenye mchezo unaohitaji nidhamu,busara, usikivu,hekima na yote yanayofanana na maneno haya. Ni mchezo ambao kuna hatua fulani ukifikia ktk mafunzo unaweza kutokea ugomvi sehemu we ukakimbia kwa kuogopa unaweza fanya kitu cha ajabu hapo.Nna mengi sana ya kusema kuhusu mchezo huu, lkn yaliyo muhimu mkuu Suruma keshayasema,lkn nami ntarudia. TAFAKARI SANA KAMA NIA TU KIJANA AJIFUNZE ILI KUWAONESHA WATU MTAANI. Nikipata muda ntaleta Uzi ambao Sensei wetu( mwalim) alitumia Busara,na Hekima za mchezo kuepusha maafa yasitokee kwenye dojo letu.Lkn naamini pia kilichotokea kwenye dojo letu kingetokea kwenye dojo za kwetu TZ naamini TIMBWILI lake lingekuwa nene.Mkuu box limechanganya wacha ntafute ugali wa watoto.
 
Achana Nao hao Kijana Njoo Tukufundishe COMBAT KARATE ambayo Hizo Zote za Kipuuzi puuzi Ulizozitaja au Walizozitaja Wenzio Zimejumuishwa Ndani na Uzuri wa Hii Si Ya Kujeruhi tu bali Hii Ukigusa tu Umeua na Uwe Tayari Kupiga Kupasua Jiwe Kwa Kichwa, Kupiga Ngumi ktk Metalic Punching Bag, Kupiga Msamba ktk Chupa za Bia au za Soda, Kufunga Kunya ( HAJA KUBWA ) kwa Miezi Mitatu, Kuweka Viganja Vya Mikono Yako ktk Mchanga wa Moto Mkali Sana ili Kuondoa Ganzi, Kukata Mti Kwa Kupiga Kwa Sehemu Ya Ugoko Ya Miguu Yako, Kuruka Sarakasi za Kila Aina, Kuruka Kutoka ktk Ghorafa Ya Kuanzia Ya Pili au Ya Tatu Miguu Peku ili Kukomaza Kisigino na Mguu Wako na Mwisho Kabisa Uwe Tayari Kupambanishwa na Chui Chumbani Kwa Dakika 15 tu na Ukifa Shauri Yako! Jiandae Pia Kwa Mazoezi Ya Kupasha Mwili Kila Siku Kwa Kukimbia kutoka Dar hadi Chalinze Kwa Spidi Kali na Hakuna Kusimama au Kuzunguka Uwanja wa Mpira Mara 500 Kwa Spidi Kali na Kubwa. Hiyo Ndiyo Combat Karate na Contents zake ndiyo Hizo na Ukihitaji Hiyo Kozi Nitafute ili Nikufanyie Interview Ya Kwanza tu Ambayo ni Ya Kupima URIJALI wako ambapo UTATAKIWA KUSIMAMISHA CHUPA YA MAJI KUBWA YA KILIMANJARO ktk UUME WAKO ( MBOO YAKO ) KWA DAKIKA 5 tu na Ukishindwa hiyo Interview Ndogo tu na Nyepesi basi Hutakuwa na Sifa Ya Kujumuika Nasi ktk Combat Martial Arts Training na Tutakushauri tu Uendelee na Hao akina Sensei Wenu na Karate Zenu za Kishoga.

Acha kudanganya karate combate inamfundisha mtu jinsi ya kupiga siyo kupigana.tufautisha kupiga na kupigana
 
MATIMBANYULA unabisha Nini si Uje Ujiunge Tukutoe Mimavi ( Haja Kubwa ). Wanaume wa Shoka Wakiongea Wewe Kakojoe Ukalale Sawa? Nyambafu!!!!!!!!
 
Wajuzi tumenyuti tu nawaangalieni mnavyodanganyana we ukinletea za kuleta rukaruka weee mi naitaimingi shingo yako nikiipata nakukausha damu tu kama zombie
 
mkuu
kwa kawaida karate ni mchezo lakini vilevile ni self defence, naona watu wamezungumza mengi, kama uko na nia niPM
 
Achana Nao hao Kijana Njoo Tukufundishe COMBAT KARATE ambayo Hizo Zote za Kipuuzi puuzi Ulizozitaja au Walizozitaja Wenzio Zimejumuishwa Ndani na Uzuri wa Hii Si Ya Kujeruhi tu bali Hii Ukigusa tu Umeua na Uwe Tayari Kupiga Kupasua Jiwe Kwa Kichwa, Kupiga Ngumi ktk Metalic Punching Bag, Kupiga Msamba ktk Chupa za Bia au za Soda, Kufunga Kunya ( HAJA KUBWA ) kwa Miezi Mitatu , Kuweka Viganja Vya Mikono Yako ktk Mchanga wa Moto Mkali Sana ili Kuondoa Ganzi, Kukata Mti Kwa Kupiga Kwa Sehemu Ya Ugoko Ya Miguu Yako, Kuruka Sarakasi za Kila Aina, Kuruka Kutoka ktk Ghorafa Ya Kuanzia Ya Pili au Ya Tatu Miguu Peku ili Kukomaza Kisigino na Mguu Wako na Mwisho Kabisa Uwe Tayari Kupambanishwa na Chui Chumbani Kwa Dakika 15 tu na Ukifa Shauri Yako! Jiandae Pia Kwa Mazoezi Ya Kupasha Mwili Kila Siku Kwa Kukimbia kutoka Dar hadi Chalinze Kwa Spidi Kali na Hakuna Kusimama au Kuzunguka Uwanja wa Mpira Mara 500 Kwa Spidi Kali na Kubwa. Hiyo Ndiyo Combat Karate na Contents zake ndiyo Hizo na Ukihitaji Hiyo Kozi Nitafute ili Nikufanyie Interview Ya Kwanza tu Ambayo ni Ya Kupima URIJALI wako ambapo UTATAKIWA KUSIMAMISHA CHUPA YA MAJI KUBWA YA KILIMANJARO ktk UUME WAKO ( MBOO YAKO ) KWA DAKIKA 5 tu na Ukishindwa hiyo Interview Ndogo tu na Nyepesi basi Hutakuwa na Sifa Ya Kujumuika Nasi ktk Combat Martial Arts Training na Tutakushauri tu Uendelee na Hao akina Sensei Wenu na Karate Zenu za Kishoga.

Mkuu hii ya miezi mitatu (3) bila HAJA KUBWA itanibidi niku PM; maana inaweza kunipunguzia gharama za DSSD hapa Dar kunyonya maji taka katika mashimo ya msalani hapa nyumbani:smile-big:
 
Bado nafuatilia huu uzi, Nitafuatilia manzese kanisani
 
Wakuu nauliza mahali wanapofundisha karate. Kuna kijana wangu nataka nimpeleke akajifunze. Ningependa iwe maeneo ya Ubungo lakini hata sehemu nyingine sio mbaya
Mpeleke misikitini wanafundisha vizuri sana
 
Achana Nao hao Kijana Njoo Tukufundishe COMBAT KARATE ambayo Hizo Zote za Kipuuzi puuzi Ulizozitaja au Walizozitaja Wenzio Zimejumuishwa Ndani na Uzuri wa Hii Si Ya Kujeruhi tu bali Hii Ukigusa tu Umeua na Uwe Tayari Kupiga Kupasua Jiwe Kwa Kichwa, Kupiga Ngumi ktk Metalic Punching Bag, Kupiga Msamba ktk Chupa za Bia au za Soda, Kufunga Kunya ( HAJA KUBWA ) kwa Miezi Mitatu, Kuweka Viganja Vya Mikono Yako ktk Mchanga wa Moto Mkali Sana ili Kuondoa Ganzi, Kukata Mti Kwa Kupiga Kwa Sehemu Ya Ugoko Ya Miguu Yako, Kuruka Sarakasi za Kila Aina, Kuruka Kutoka ktk Ghorafa Ya Kuanzia Ya Pili au Ya Tatu Miguu Peku ili Kukomaza Kisigino na Mguu Wako na Mwisho Kabisa Uwe Tayari Kupambanishwa na Chui Chumbani Kwa Dakika 15 tu na Ukifa Shauri Yako! Jiandae Pia Kwa Mazoezi Ya Kupasha Mwili Kila Siku Kwa Kukimbia kutoka Dar hadi Chalinze Kwa Spidi Kali na Hakuna Kusimama au Kuzunguka Uwanja wa Mpira Mara 500 Kwa Spidi Kali na Kubwa. Hiyo Ndiyo Combat Karate na Contents zake ndiyo Hizo na Ukihitaji Hiyo Kozi Nitafute ili Nikufanyie Interview Ya Kwanza tu Ambayo ni Ya Kupima URIJALI wako ambapo UTATAKIWA KUSIMAMISHA CHUPA YA MAJI KUBWA YA KILIMANJARO ktk UUME WAKO ( MBOO YAKO ) KWA DAKIKA 5 tu na Ukishindwa hiyo Interview Ndogo tu na Nyepesi basi Hutakuwa na Sifa Ya Kujumuika Nasi ktk Combat Martial Arts Training na Tutakushauri tu Uendelee na Hao akina Sensei Wenu na Karate Zenu za Kishoga.
Uhanithi mwingine ni wa kujitakia, kwa mazoezi haya uume lazima ulemae
 
nawashkuru kwa taarifa, je mpka kufikia mkanda mweus inaweza chukua mda gani? na bei yke ikoje?
Usiangalie mkanda angalia fitness
Unaweza ukaend kweny huzi academy uka pewa hata green belt lakini kuna watu wanajifunza nje ya academy muda mref wanakuweka chini.

Tafuta skills, wepesi speed na fitness usiangalie ugawaji wa miknda
 
Nenda lugalo jeshini au kwa junior pale Don bosco upanga.
Siio lugalo jeshin jeshin hakuna mafunzo ya kufundsha raia.
Labda aende kawe pekas kuna ticha wa taikond
 
mkuu unataka karete ipi? Fafanua vizuri mkuu mim naweza kukuelekeza.

Kama unataka kujifunza shotokan karate SKF kwa hapa bongo kuna sensei Chikoko ndiyo mwasisi wa shotokan tanzania na anapatikana kawe ndipo dojo lake lilipo na 90% ya masempay wote wafundishao washotokan dar es salaam ni matunda yake mim nawafaham masempay zaidi ya 20 walio tapakaa kila kona hapa dar ambao wamefundishwa nae.

Siwezi weka contact za huyo sensei chikoko na hao masempay hapa kama upo serious ni PM ntakutumia mkuu.
Chikoko yeah.

Yupo vizuri na anambinu za kufundisha fresh. Angepata dojo kubwa lililofunikwa vzuri kama la wale jamaa wa nyuma ya Dit ingekuw great sana
 
taikwond ndiyo imesimaa mkuu ni mwendo wa mateke tu kwa kwenda mbele
hainaga kulemba sana wala kushikana wala kusogeleana mtu akikuletea shobo tu 2 second upo kichwani kwake au ushamvunja??

Haya makitu yana raha yake na yakikukorea ndiyo kabisaaa
Sema ubaya wake ukishika mtu useme umpige kidog hata vibao viwili atie adabu inakuw shida huwezi kadilia
 
Back
Top Bottom