moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,085
- 2,889
acha ujinga na kauli za uongo weweWakimaliza hapo Kazi hawana wanakuja Kuiba Bank
acha ujinga na kauli za uongo weweWakimaliza hapo Kazi hawana wanakuja Kuiba Bank
Nawe uache Unafikiacha ujinga na kauli za uongo wewe
jaribu kukua digi digi weweNawe uache Unafiki
Usitake habari ambazo hazina ukweli ilimradi tu uwe umepata habari ..na cha muhimu zaidi control hicho kiherehere kitakucost siku za mbeleni niliemjibu alikuwa ni mwingine na tumeshaongea yakaisha sasa wewe yamekufikaje haya bwana mdogo?Acha uboya ndugu, tatizo unataka kujifanya unajua kumbe kapuku tuu....
Kaa pembeni wenye ronja zao wazilete au unataka kuongeza namba ya comments tu.
sasa unafikiri baadhi yao hawafanyi usituishe na Avatar yako ya Picha ya Jeshi mpuuzi mmoja wewe
Sasa kama ulijua inamhusu yeye peke yake kwa nini uliandika public si ungemuandikia PM. Jifunze dhima ya social network usiwe akili ndogo.Usitake habari ambazo hazina ukweli ilimradi tu uwe umepata habari ..na cha muhimu zaidi control hicho kiherehere kitakucost siku za mbeleni niliemjibu alikuwa ni mwingine na tumeshaongea yakaisha sasa wewe yamekufikaje haya bwana mdogo?
Tatizo unakurupuka sana angalia usije ukakurupuka kwenye shamba la mabomu hahahah!Sasa kama ulijua inamhusu yeye peke yake kwa nini uliandika public si ungemuandikia PM. Jifunze dhima ya social network usiwe akili ndogo.
Acha mikwara dogo, hiyo dunia ya zamani "usipite mtaani kwetu"Tatizo unakurupuka sana angalia usije ukakurupuka kwenye shamba la mabomu hahahah!
Sifikirii kama una ile kitu inaitwa Self esteem...then you seems to be young to debate with me young ladAcha mikwara dogo, hiyo dunia ya zamani "usipite mtaani kwetu"
Poa mkuu ngoja nikuache. Tuendelee mambo mengine.Sifikirii kama una ile kitu inaitwa Self esteem...then you seems to be young to debate with me young lad
Hayo ndio maneno ndugu yanguPoa mkuu ngoja nikuache. Tuendelee mambo mengine.
Sijui kakaMkuu makanya jr.. Vp hzo za wazanzibar kwenda mwenye ndugu visiwan au jamaa tusaidie kutujuza. Ova
Nasikia kuna taarifa za kuanza kuripoti tarehe 3/9 ni kweli wenye info kamili tujuzane please
Ngoja wazanzibari waingie tar 29 then info kamili tutapata j4Nasikia kuna taarifa za kuanza kuripoti tarehe 3/9 ni kweli kwenye info kamili tujuzane please
Poa poa ngoja tusubiriNgoja wazanzibari waingie tar 29 then info kamili tutapata j4