mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,535
✍✍✍✍✍Hakuna Shida
Hilo Swala Dogo Sana
Shida Ipo Ktk Damu
Afu Acha Kujistukizia Ktk kambi
Usije Enda Kila Mtu Unamwambia Swala Lako Kaaa Kimya
Jione Wee ni Wakawaida Tuu
Kuna Dada Anawatoto 2 Huku Mtaani
Nw Ni Polis Na aneingia Tayari Ana watoto Sio Kawapatia Jeshin Hapana
Kawapata Uraian ndio Kaenda Depo
Usiniulize Depo Alipigaje
Ndio Mana Nakwambia Wee Jione Wa
kawaida
sawa mkuumsalimie HITRAAAA NIME MSSSS SANAAA NA MAMBO YAKE YA DAWA BOY BOY
thank you brotherNawatakia safari njema wazalendo wote wanaotarajia kwenda makambini napenda tu kuwakumbusha suala la kuchunga na kulinda damu cuz kila hatua utakayokuwa unaenda ni lazima damu ipimwe, so njia pekee ni kutokumwamini mtu yyte katika safari hii ya kuelekea yale mliyoyakusudia
Hujai jeshini,huna siri na pia inaonekana hata maisha yako unayaanika wazi jirekebishe sio kila kitu ni cha kuexpose take care✍✍✍✍✍
Smh!!! Gtoh!! Tf u want? Why you always into my nerves? Never trust anything you see on internet and leave me aloneHujai jeshini,huna siri na pia inaonekana hata maisha yako unayaanika wazi jirekebishe sio kila kitu ni cha kuexpose take care
kila la kheri kamandaSafari njema makamanda naaga uzi Rasmi
Unaenda 824 KJ nani atapost mambo ya ajira mkuu?Nipo safari naelekea 824 kj
HahahahaUnaenda 824 KJ nani atapost mambo ya ajira mkuu?
tupo hapa tunangoja...masharti magumu sanaTunaousubiri jwtz professional tunabaki kuulinda huu Uzi.....
Niunganishie na mimi mkuuACHENI kuwapa homa za kipuuzi wenzenu...mnaosubiri form mimi nina HAKIKA zipo kwahyo subiri kuanzia tar 17 mwez wa 12 mtaanza kupata na mtaingia kuanzia 25 ....by moto wa maji mwenyekiti wa huu uzi