Elya
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 276
- 139
Hiyo kkoo kama ni mtembeleaji kwenye maduka ya vifaa vya simu jaribu kufika kwa Marieta niliona anayo kama wiki moja hivi imepita
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo kkoo kama ni mtembeleaji kwenye maduka ya vifaa vya simu jaribu kufika kwa Marieta niliona anayo kama wiki moja hivi imepita
shukrani Mkuu, ngoja nisogee, japo cjui huyo marieta yupo eneo gani pale kkooHiyo kkoo kama ni mtembeleaji kwenye maduka ya vifaa vya simu jaribu kufika kwa Marieta niliona anayo kama wiki moja hivi imepita
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekupa hiki cha kwangu ila kina shida, mimi kuna mda ili kioo kiwake inabidi IC yake ya kioo ipate joto sana.
Mkuu, before sijanunua, haiwezi ikawa imepigwa hiyo? Embu nisogezee huyu mtu nitete nae.Mkuu hebu check post za juzi hapo juu mtu anahitaji hiyo kitu kama sikosei somebody allen
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahanlinunua sasa baada ya sku6 nkawa nmeiweka chaj kwenye pc kwa ktmia USB. na nikawa naitmia intanet kama kwa masaa manne na chaj ikawa haipand wala haishuk (ilkuwa ikcheza kat ya 19 na 21)
nkaitoa baada ya mda mfup nkaizima.nilipowasha ikawaka lakini ikawa ina display wallpaper tu.
na uki touch hai sense, ila uki bonya power button zinatokea zile commands (reboot, switch off,etc) na ukibonya ina tii.
yaan uki tach kwnye restart ita restart, na knye switch off itazma...
na m2 akipga inaita lakn huwez kupoke.
FUNDI WA KWANZA
akasema inabid kuiflash. akaflash ikawa inawaka na inaishia logo 2 (itel)
kwa kuwa nlkuwa mkoani.
nkaja dar...
nkaenda k.koo kufatlia warranty.
wakasema simu imefunguliwa.
na mashine imekufa inabd 87k il kununua mashne mpya.nkchek smu nmedaka 150 afu niongeze tena .
nkasepa
FUNDI WA PILI
k.koo akasema inabd kudanlod mafail ya simu na kuyatia...(jarbio ambalo hata wa kwanza alisema alijarbu kulifanya)
ndo akajarbu lakn mwisho wa sku ikawa haiwaki kabisaaaaa.
nkaambiwa nitafute mashineeee mpya.
FUNDI WA 3.
huyu alijarbu kuichoma choma cmu na moto naye akashindwa
.....
Mkuu, nimetaka kujiunga ila imekataa
Touch imefanyaje Mkuu.Fundi anaeweza tengeneza ac ya touch...iphone 6 plus...tutafutane
Oii mi ninayo ila imekufa display lakn mpaka inaizngua kila k2 kilikuwa na function Vzuri tuuMkuu, before sijanunua, haiwezi ikawa imepigwa hiyo? Embu nisogezee huyu mtu nitete nae.
Betri, Camera, IMEI n.k vipo vyema?
Uliinunua wapi Mkuu? Hujawahi kubadiligi Kioo tangu uinunue au kuimiliki?Oii mi ninayo ila imekufa display lakn mpaka inaizngua kila k2 kilikuwa na function Vzuri tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliinunua wapi Mkuu? Hujawahi kubadiligi Kioo tangu uinunue au kuimiliki?Oii mi ninayo ila imekufa display lakn mpaka inaizngua kila k2 kilikuwa na function Vzuri tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kioo kiliwahi kubadilishwaaUliinunua wapi Mkuu? Hujawahi kubadiligi Kioo tangu uinunue au kuimiliki?
Kila k2 kpo vyema ila hyo gharama ya kubadilisha display ndo imenichoshaaBetri, Camera, IMEI n.k vipo vyema?
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Wapatkana wapNina S6 edge iliingia kweny maji nikawahi kuitoa lakn ilikuwa haina chajii nikaiweka nyuma ya frij kama masaa 10 nikaichomeka charge ilikuwa inapata moto tuu lakn ikakataa kuwaka nikaambiwa nieke kwenye Mchele nikaiweka kama siku mbili sasa HIV nikiichomeka charge inaonyesha inaingia lakn mwisho wake ni asilimia sifuri tuu hats ukiichaji Siku nzima asilimia ni hyo hyo sifuri tuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuma picha Mkuu.Kila k2 kpo vyema ila hyo gharama ya kubadilisha display ndo imenichoshaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nna mpango Wa kuitengeneza kama itawezekana ila kupata Fundi Wa uhakika no mtihani
Sasa umeambiwa hili group la kuuza au ni la mafundi simu?Hii nna mpango Wa kuitengeneza kama itawezekana ila kupata Fundi Wa uhakika no mtihani
Sent using Jamii Forums mobile app