Okay. Kioo kinabadilishwa na hilo tatzo la kuchelewa kuwaka kwa experience yangu ya kazi inaniambia kuwa linaweza kuwa tatzo la software, kwahyo inatakiwa iflanyiwe operation ya flashingNokia Asha 201
Kama hiyo hapoView attachment 748649
Kwa bei ya kununua tu au na matengenezo kabsa?Habari
Display ya tecno w3 sh ngapi?
Asante kiongozi. Na gharama zake zinakuwa vp kwa mafundi maana nipo huku nje ya mji!?Okay. Kioo kinabadilishwa na hilo tatzo la kuchelewa kuwaka kwa experience yangu ya kazi inaniambia kuwa linaweza kuwa tatzo la software, kwahyo inatakiwa iflanyiwe operation ya flashing
Inategemea upo maeneo gani. Ungeweka na location yako wadau ambao wapo arround na ww wakurukie hapa hapaAsante kiongozi. Na gharama zake zinakuwa vp kwa mafundi maana nipo huku nje ya mji!?
Kwa bei ya kununua tu au na matengenezo kabsa?
Unapatikana wapi?Na matengenezo
Njoo PMDar es salaam
Kioo kibovu. BadilishaSamsung S5 kioo kuflick ikiwa ktk low brightness ni nini? Au muda mwingine kinazima kabisa hakioneshi kitu ila ukitouch unasikia kabisa unatouch kitu.
Kikizima ni mpaka kipate joto kali sana ndo kinawaka, nini tatizo wakuu?
Sawa Mkuu, asante sana.Kioo kibovu. Badilisha
Nipo kibaha ndani ndani huku. Na huwa ninakuja mara kwa mara mjini so wewe unapatikana maeneo gani!?Inategemea upo maeneo gani. Ungeweka na location yako wadau ambao wapo arround na ww wakurukie hapa hapa
Njoo PMNipo kibaha ndani ndani huku. Na huwa ninakuja mara kwa mara mjini so wewe unapatikana maeneo gani!?
Tiba yake hyo ikipatikana watu watapiga hela kwel kwel maana hvyo vimejaa kwa mafundiKuna vi itel 2090 vinakataa sana vioo kuna suluisho au ndio havina tiba
Kuna Vingine Huwa Vinakubali Inategemea Kioo Kiliaribikaje Ila Masharti Uunge Kwanza Kioo Ndipo Upige Na Moto Wa Kwa MbaliTiba yake hyo ikipatikana watu watapiga hela kwel kwel maana hvyo vimejaa kwa mafundi