kibao cha mbuzi
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 507
- 489
Ni kweli fundi wa mwisho aliniambia ninunue machine ya ndani kwa 50 ama 60 ila siku amini nikadhani kuna m'badala kwa programming:! Ila shukrani maana humu jf ni kisima cha fikra na solution ndio hiohio ya circut nta badilishaTecno W3 pamoja na W4 zina huo ugonjwa wa kuzima ghafla, kuwaka pale zinapojickia au kuleta multi colours kwenye screen as if screen ni mbovu but same screen ukiweka kwenye cmu nyingine inapiga kazi vema tu... SOLUTION.. ukihangaika nayo hyo itakupotezea tu mida na real solution ni kubadilisha circuit ambapo inapatikana kwa elf50 k koo mpya kabisa au ukipitia kwa mafundi utaipata kwa bei pungufu kidogo au unaqeza kwenda tecno service centre na watakuuzia hyo kwa elfu80 na unaacha cmu kwa muda wa cku3 then watakujulisha