Baba wa Mapaka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 1,808
- 1,617
Any WhatsApp group?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni HDD au ni BIOS?Mkuu sory, nna laptop yangu nikiwasha inadai hard disk password, na cjawah kuiwekea, nmepeleka kwa mafund baadh wanajarbu kutoa imewashinda na kuiformat hard disk pia wameshindwa, plzz km una weza kutatua tatzo langu dm me plzz, au nichek 0717969791
Mi ninayo 720 mkuuJamani wadau natafuta sakit ya Nokia lumia 635 single line
Ndo utaje location yako na tatzo la simu yako then watu wakufate huko.Sorry Guys kusema maneno yafuatayo, Mafundi simu weni hawajui au sio mafundi, nimepeleka kiji-tecno changu Boom J8 naona wameishia kuiharibu zaidi na zaidi, ilienda ikiwa inawaka imerudi hata kuwaka haiwaki. pesa imeliwa dah, kama kweli kuna fundi mzuri naomba nionane e faragha PM. Narudia tena kusema samahani
4.7 kvpAisee simu yangu ni 4.7 iphone 6 imeuwa backlight ic is there anybody amaweza nisaidia?
Kama kunaye naomba ani pm bac
Techno Boom J8, ilikua attacked na Virus, baadae ikawa ukiizima ukiiwasha tena inaishia kwenye ku-display Boom.....Niko UbungoNdo utaje location yako na tatzo la simu yako then watu wakufate huko.
Ok.Techno Boom J8, ilikua attacked na Virus, baadae ikawa ukiizima ukiiwasha tena inaishia kwenye ku-display Boom.....Niko Ubungo
ic-integrated circuit AC-Air Condition, AC-Alternating Current etcNatafuta AC za sony Ultra Z , charging haipeleki moto kwenye betri inavyonya badala ya kucharge
Nina maaana IC mkuu kama nilivyoandika tatizo nadhani linahusiana na IC nimeshauriwa kuwa sony Z ultra IC zake mpaka fundi mwenye scraper yake kwenye maduka ya spares ni ngumu kupata naomba msaadaic-integrated circuit AC-Air Condition, AC-Alternating Current etc