sicam
Member
- Aug 7, 2017
- 75
- 44
Nimeiflash kwa sp flash tool.
300kNina Samsung note 4 imekufa display inaweza kupona?na itagharimu bei gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuulza kuna ujzi wa aina yyte kuhusu Tecno au itel hzi batan mteja anapokuwa amesahau Password alzweka tofaut kuiflash?na kama unaswali lolote linalohusu tecno au itel upande wa hardware naomba uniulize ila uahakikishe ww ni fundi.
heloo mimi ni fundi wa simu ila leo nimeletewa pc(laptop) inatatizo la kuwaka halafu inazima baada ya kama nusu saa fan yake inazunguka taratibu nini tatizo?Mimi ni fundi wa software na hadware pia nilianza na hardware Nina nafasi ya kujibu kotekote lakini nitakuwa na mipika
labda hyo fan ina vumbiheloo mimi ni fundi wa simu ila leo nimeletewa pc(laptop) inatatizo la kuwaka halafu inazima baada ya kama nusu saa fan yake inazunguka taratibu nini tatizo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nicheck 0763976109Natafuta camera ya mbele ya samsung s3 mkanda wake ulikatika so natafuta mwenye kamera ya mbele aniuzie namba yangu ni 0757611956
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari Mkuu naomba kufahamu bei ya betri ya tecno w5 na kama naweza pata msaada wa tutorial hivi or aid of pics ili nibadili betri mwenyewe nikishanunua mkuu,samahani kwa usumbufu.ahsantehna kama unaswali lolote linalohusu tecno au itel upande wa hardware naomba uniulize ila uahakikishe ww ni fundi.
Wasiliana na huyo jamaaHabari Mkuu naomba kufahamu bei ya betri ya tecno w5 na kama naweza pata msaada wa tutorial hivi or aid of pics ili nibadili betri mwenyewe nikishanunua mkuu,samahani kwa usumbufu.ahsanteh
Maana nimetafuta google na youtube sijapata tutorial
Group lipo BossBoss ungteneza group whastup nahs ingepndeza sana kama unalo ni addy 0767427770