Dona wa baba...
Member
- Dec 19, 2013
- 35
- 26
Hiv kwanza lcd ni nini tutoane ushamba maana haya mambo mweeh40,000
Pili nna shida ya kioo namaanisha display Og ya samsung galaxy j7 unisaidie hata kama kuna mtu cm yake imekufa ila display iko sawa bs tufanye bzness
Mkuu inbox yako ni pasua kichwa