Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,256
- 2,572
Mkuu ,habari
Vitu kama hivi ukimtumia Pm inapendeza sana sana ,maana customers ignorance ni ktu kizur katika biashara hasa tanzania.
Usiwe unafanyia hiv uzi wa mtu wa biashara unamperushia ndege wake ,kila mtu anatafuta na anakutana na wateja wake katika biashara yake.
Hope utanielewa na si kukwazika hata kidogo
Asante.
Vitu kama hivi ukimtumia Pm inapendeza sana sana ,maana customers ignorance ni ktu kizur katika biashara hasa tanzania.
Usiwe unafanyia hiv uzi wa mtu wa biashara unamperushia ndege wake ,kila mtu anatafuta na anakutana na wateja wake katika biashara yake.
Hope utanielewa na si kukwazika hata kidogo
Asante.
Unauza vitu kwa bei ghali..utawapata wateja wa huko huko Tanga ila wateja wa dar kuwapata ni kazi sana....
3D protector bei 3000 ila huku ni 2500
Autofocus kwako 1500 huku ni 1000
meno3 chaja kwako 3000 huku 2000
Ear fon original hizo nyeupe za samsung ziko aina mbili copy 1500 Original 3000...ila wewe unauza 2500 sjui ni zipi ulizonazo
Cover za urembo kwako 3000 huku 2500
Battery za nokia BL5 excellent original huku 4500,oraimo 4000 ni original kweli...kwako unauza 5000
Glass za kawaida kwako 700 huku 500
Punguza bei mkuuu ili upate wateja wengi...
kama utahitaji memory na flash OG nicheki nikuleteee mzigo uuze ule maisha Phone..Ukihitaji charge Original FAST CHARGER ambazo ukichomeka chaji simu haiandiki CHARGING...inaandika FAST CHARGING nicheki nikupe tufanye biashara...
Ukihitaji mzigo next time kwa Jumla uuze kwa bei nzuri nicheki...Karibu next time.