Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,899
- 218,683
Nimefuatilia TV yao kwenye matukio makubwa mengi ambayo Mtumishi huyo anayafanya , kiukweli kiwango chao ni duni kuliko TV yoyote ya Kidini iliyopo hewani .
Kwa mfano hii VUKA NA CHAKO ya leo dk 10 hewani saa nzima kimya , hii si mara ya kwanza kwa TV yao kuwa na mambo haya , kuna haja ya kulifanyia kazi jambo hili ambalo ni tatizo sugu la Arise and Shine la miaka mingi mno !
jambo hili linaleta aibu sana , hii ni kwa sababu wanaofuatilia kwenye TV ni wengi kuliko wanaokuwa Kawe .
Lengo la kuleta uzi huu ni kumkumbusha Mwamposa kwamba shida hii si ndogo na asiichukulie poa
Kwa mfano hii VUKA NA CHAKO ya leo dk 10 hewani saa nzima kimya , hii si mara ya kwanza kwa TV yao kuwa na mambo haya , kuna haja ya kulifanyia kazi jambo hili ambalo ni tatizo sugu la Arise and Shine la miaka mingi mno !
jambo hili linaleta aibu sana , hii ni kwa sababu wanaofuatilia kwenye TV ni wengi kuliko wanaokuwa Kawe .
Lengo la kuleta uzi huu ni kumkumbusha Mwamposa kwamba shida hii si ndogo na asiichukulie poa