malisak
JF-Expert Member
- Mar 16, 2006
- 694
- 772
Jamani kumbe sometimes mafumbo ya kimapenzi kwa watoto ni muhimu ee!!,
kuna jamaa humuhu jf simtaji jina alinipa stori moja anasema kila akirusi kwake anakuta watoto wake hawajalala wanaangalia mamushka na tamthilia nyengine ambapo anashindwa kula uroda na mkewe mapema kwakua ana vyumba 2 na sebule kwake (ni vile chumba,chumba na sebule kati),ambapo humpelekea kulala bila kupata kitu siku nyengine.tabia ile ilikua inamkera sana akatafuta mbinu,akawa akirudi anajifanya kalewa na kuimba kipande hiki
''watoto kalaleni mama yenu nataka mkomesha leo''
watoto nduki wanajua kutakua na vurugu muda si mrefu, ikawa ndio tabia yake kila siku mpaka inajenga mazowea watoto ikifika saa 12 jioni tu wanajifanya kujisomea na mweishowe kula kulala.kale kawimbo kalimsaidia sana kuwapiga watoto fumbo(jamaa mbunifu kweli.
kuna jamaa humuhu jf simtaji jina alinipa stori moja anasema kila akirusi kwake anakuta watoto wake hawajalala wanaangalia mamushka na tamthilia nyengine ambapo anashindwa kula uroda na mkewe mapema kwakua ana vyumba 2 na sebule kwake (ni vile chumba,chumba na sebule kati),ambapo humpelekea kulala bila kupata kitu siku nyengine.tabia ile ilikua inamkera sana akatafuta mbinu,akawa akirudi anajifanya kalewa na kuimba kipande hiki
''watoto kalaleni mama yenu nataka mkomesha leo''
watoto nduki wanajua kutakua na vurugu muda si mrefu, ikawa ndio tabia yake kila siku mpaka inajenga mazowea watoto ikifika saa 12 jioni tu wanajifanya kujisomea na mweishowe kula kulala.kale kawimbo kalimsaidia sana kuwapiga watoto fumbo(jamaa mbunifu kweli.