Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
- Thread starter
- #21
Da jamani hata mimi nna aleji mafua toka nna 14 mpaka sahii nakimbilia 30 halafu nyingine nikioga nawashwa sana ugoko niambieni dokta mzuri niende
Pole sana mkuu
Ngoja tusikie wadau hapa wanasemaje, JF ni jungu kuu halikosi ukoko tutapata dawa tu, worry not