Kuna faida gani kwa Mafisadi na Wahujumu uchumi kushitakiwa?
Watanzania/Wananchi wanapata faida gani kwa mafisadi au wahujumu uchumi kushitakiwa?
Isitoshe kodi za Wananchi zinatumika kuendesha kesi ambazo hatimae serikali hushindwa.
Ushauri wangu ni kuchukua hela zote kwenye akaunti zao na kutaifisha mali zote.
hata kama ameandika mali hizo au hizo akaunti kwa majina ya ndugu na marafiki. Halafu hao wanaomiliki walete maelezo kuwa hizo hela wamepataje, Biashara zipi wamefanya,statements of yearly accounts na kodi zipi wamelipa TRA.
Pia wakati uchunguzi unafanya, inatakiwa wawekwe kuzuizini (detention) ili kutoa mwanga zaidi wa kujua ukweli.
Serikali inajua nani ana shs ngapi kwenye benki ipi ...Through BOT.
Pia kuna usalama wa taifa, kuna Takukuru, mahakama,polisi n.k
Ni usanii mtupu kumfunga watu kama Liyumba au Yona na wengine wakati umewaachie hela zote walizoiba.
Au Kuanzisha tume ya ukweli na upatanishi ili hao wezi warudishe hela kiasi na waachiwe kidogo.
Why was it possible with Sokoine and Son of peasant NOOOO?
Why possible to Kigoma Ali Malima?
Watanzania/Wananchi wanapata faida gani kwa mafisadi au wahujumu uchumi kushitakiwa?
Isitoshe kodi za Wananchi zinatumika kuendesha kesi ambazo hatimae serikali hushindwa.
Ushauri wangu ni kuchukua hela zote kwenye akaunti zao na kutaifisha mali zote.
hata kama ameandika mali hizo au hizo akaunti kwa majina ya ndugu na marafiki. Halafu hao wanaomiliki walete maelezo kuwa hizo hela wamepataje, Biashara zipi wamefanya,statements of yearly accounts na kodi zipi wamelipa TRA.
Pia wakati uchunguzi unafanya, inatakiwa wawekwe kuzuizini (detention) ili kutoa mwanga zaidi wa kujua ukweli.
Serikali inajua nani ana shs ngapi kwenye benki ipi ...Through BOT.
Pia kuna usalama wa taifa, kuna Takukuru, mahakama,polisi n.k
Ni usanii mtupu kumfunga watu kama Liyumba au Yona na wengine wakati umewaachie hela zote walizoiba.
Au Kuanzisha tume ya ukweli na upatanishi ili hao wezi warudishe hela kiasi na waachiwe kidogo.
Why was it possible with Sokoine and Son of peasant NOOOO?
Why possible to Kigoma Ali Malima?