yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,527
- 1,913
Kila nikitazama utendaji kazi wa hii serikali, naona kama imekwenda likizo, watu wanafanya wanavyotaka, kila kiongozi serikalini anashindana kuiba, watu wanapiga za kuona, wizara zoote watu wanashindana kuiba, watu pekee ninao wanna wanafanya kazi ni machawa wa kusifu na kusujudu, wao hawalali usiku na mchana wapo kazini.
Tanzania sijui tumelogwa na nani!? watu waovu, mafisadi, majangili, wahujumu uchumi, wazembe na goigoi ndio watu wanaopendwa kwenye nchi hii.
Dah, tunasafari ndefu sana, na sijui kama tutafika, na kama tutafika tutafika tukiwa tumechoka sana.
Tanzania sijui tumelogwa na nani!? watu waovu, mafisadi, majangili, wahujumu uchumi, wazembe na goigoi ndio watu wanaopendwa kwenye nchi hii.
Dah, tunasafari ndefu sana, na sijui kama tutafika, na kama tutafika tutafika tukiwa tumechoka sana.