yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,510
- 1,901
Salute,
Tangu raisi Samia aingie madarakani katika awamu yake ya sita, baada ya hayati Magufuli kuwa ametangulia mbele ya haki, ni kiongozi gani au mtumishi gani amewahi kuwajibishwa kwa ufisadi?
Uzembe? Uzembe? Au ubadhirifu wa Mali ya umma? Naomba mnionyeshe. HAKUNA. Badala yake mafisadi, wahujumu uchumi na wabadhilifu wa Mali ya umma wanalindwa, na wale waliokuwa wamewajibishwa katika utawala wa Hayati Magufuli wanarudishiwa hela zao na mafisadi yoote wamerudishwa kazini.
Rais wa nchi ndio kila kitu kwenye nchi, ukitaka ujue rais ni mtu wa aina gani tizama watu waliomzunguka.
Tutawalaumu mawaziri, tatizo lipo kwa namba moja.
Tangu raisi Samia aingie madarakani katika awamu yake ya sita, baada ya hayati Magufuli kuwa ametangulia mbele ya haki, ni kiongozi gani au mtumishi gani amewahi kuwajibishwa kwa ufisadi?
Uzembe? Uzembe? Au ubadhirifu wa Mali ya umma? Naomba mnionyeshe. HAKUNA. Badala yake mafisadi, wahujumu uchumi na wabadhilifu wa Mali ya umma wanalindwa, na wale waliokuwa wamewajibishwa katika utawala wa Hayati Magufuli wanarudishiwa hela zao na mafisadi yoote wamerudishwa kazini.
Rais wa nchi ndio kila kitu kwenye nchi, ukitaka ujue rais ni mtu wa aina gani tizama watu waliomzunguka.
Tutawalaumu mawaziri, tatizo lipo kwa namba moja.