Mafisadi 38 Kutajwa

Hivi ni nini Kikwete ataongea hapa JF mumuunge mkono? Hata kama ana matatizo sawa lakini hili aliloliongea ni jambo kubwa, tusubiri matokea kabla ya kutoa hukumu. Kila mtu anatoa hukumu, wengine ohoo sijui ni dagaa tu ndio watatajwa, nk. Kwa nini tusisubiri jamani? Mnakuwaje lakini. AU kuwa sceptical ndio kutoa mchango hapa? Ukiunga mkono kwani kuna kosa gani?
 
Hivi ni nini Kikwete ataongea hapa JF mumuunge mkono? Hata kama ana matatizo sawa lakini hili aliloliongea ni jambo kubwa, tusubiri matokea kabla ya kutoa hukumu. Kila mtu anatoa hukumu, wengine ohoo sijui ni dagaa tu ndio watatajwa, nk. Kwa nini tusisubiri jamani? Mnakuwaje lakini. AU kuwa sceptical ndio kutoa mchango hapa? Ukiunga mkono kwani kuna kosa gani?

Yale aliyoyaongea 2005 mpaka leo hajayafanyia kazi na Watanzania wote tunajua hilo! Sasa ataweza kuyafanyia kazi aliyoyaongea juzi tu hata wiki hayajamaliza!? Au aliyoahidi 2005 yameshatupwa kapuni na kuwa history!?
 
Someone sounds like Lowassa, the borderline dictator. "Oh, No...we can't discuss Richmond in the parliament, we will look bad before donors." Next! Mh. Waziri, this is for maslahi ya taifa na inaathari kubwa sana ki uchumi. No,no,no...Next.

Ungeifuta hii kwa misingi ipi? na kwanini ungeifuta? au ndiyo demokrasia uliyojifunza Dodoma juzi? Hizi attitude za "FAUT PAS" inabidi ziishie Dodoma mzee.
 
Hakuna shaka Kikwete ana uwezo wa kubadilika na kuwa mkali na mtu wa msimamo wa juu kama akiamua. Lets just hope hajaropoka and then aishie kukamata dagaa badala ya mapapa wa ufisadi. He has put himself to a test in the eyes of watanzania. na huu mtihani ataupita kama ataacha huo ubia ambao anawadanganya watanzania kwamba hana wakati kilichompa nafasi ya uongozi wa serikali (sio nchi au taifa), ni mafisadi.

Kikwete hajachafuka bado, hilo halina mjadala. Kwahiyo kutokana na political crisis iliyopo, tulitegemea afanye kitu cha maana kwenye huo mpitisho wa wagombea NEC (huu haukuwa uchaguzi hata kidogo ulikuwa ni mpitisho), lakini as long as as ametoa ahadi kushughulikia mafisadi, labda tumpe muda kidogo. Lakini subira yetu hii tunataka izae matunda na mafisadi wa BOT na mikatba ya madini na umeme washughulikiwe.

Asisahau kwamba kuna nchi, taifa na serikali na yeye na wenzake hao wa mtandao wenye kukatia viuno mchiriku kutokana na kupitishwa NEC [picha za mchiriku zipo kwenye gazeti la Mwananchi] katika haya matatu ya taifa, nci na serikali, wameshika moja tu - serikali.

Kwanini uchaguzi ulimalizika usiku na matokeo kulala hadi kesho yake? jib ni rahisi sana. usiku ule mafisadi hawakulala. walikuwa busy wakipitishana na kupeana kura nyingi ili waonekane wana support kubwa ndani ya chama.

Kweli ccm kuna utamu. Hata mzee malecela anafikia hatua ya kusema kama akibaki mwanachama mmoja wa ccm basi atakuwa yeye? All this is not coincidence. At 73 years old, he must be expecting aidha pesa za BOT kama za mzindakaya akafungue mashamba yake ya mazabibu huko ugogoni au atatengenezewa cheo cha kumtunza.

Chama cha mapinduzi kitadumu. Ila viongozi wake wa sasa wameishiwa fikra sahihi.

..nimekusoma!unauma na kupuliza!

..ukweli unajulikana!...kwamba,kama jk hatarekebisha mapungufu yaliyopo kwasasa,ambayo yanazidi kukua,serikali itaweza anguka,na hii inaweza kisambaratisha chama pia!

..sasa,kila mtu ana mtazamo wake!ila,watu wanamsubiri kwa hamu kama this time ata-practice what he preaches!

..we are hoping for the best,b'se yakiharibika yatatu-affect sote!
 
Kusema kweli hotuba ya JK inatia moyo kidogo (politicaly correct) labda tu niseme kachukua muda mrefu sana kutoa hotuba kamahii.. It was necessary from day one!
kanikosha tu aliposema:-
"Hakuna kiongozi anayetajwa ambaye suala lake halifuatiliwi . Kila taarfa hufuatiliwa, iwe imetoka gazetini au katika mkutano wa dhahara au kwa ujumbe wa simu ya mkononi au kwa minong'ono na uvumi tu,"

Mheshimiwa, this is exactly tulichokuwa tukitaka toka mwanzo....leo umekuja upande wa wapinzani, kwa hiyo mwenzetu ktk mawazo tunachosubiri ni vitendo.

Binafsi nampa hongera kuweza kusimama mbele ya vigogo wote bila kumwacha mtu... na kutokana hna habri nilizopata watu walikuwa wakitupiana macho na kucheka kichina china (yaani roho zinawadunda).
 
“Hakuna kiongozi anayetajwa ambaye suala lake halifuatiliwi . Kila taarfa hufuatiliwa, iwe imetoka gazetini au katika mkutano wa dhahara au kwa ujumbe wa simu ya mkononi au kwa minong’ono na uvumi tu,”

..kauli hii naiangalia na kuisoma kwa machungu na matamu!

..kufuatilia ni lazima!ila,una-act vipi baada ya kufuatilia ndio huwa suala muhimu zaidi!

..ngoja nikalage bao!
 
Someone sounds like Lowassa, the borderline dictator. "Oh, No...we can't discuss Richmond in the parliament, we will look bad before donors." Next! Mh. Waziri, this is for maslahi ya taifa na inaathari kubwa sana ki uchumi. No,no,no...Next.

Ungeifuta hii kwa misingi ipi? na kwanini ungeifuta? au ndiyo demokrasia uliyojifunza Dodoma juzi? Hizi attitude za "FAUT PAS" inabidi ziishie Dodoma mzee.

Kwasababu hatuna majina hayo 38 YET!!!!.
 
Hivi ni nini Kikwete ataongea hapa JF mumuunge mkono? Hata kama ana matatizo sawa lakini hili aliloliongea ni jambo kubwa, tusubiri matokea kabla ya kutoa hukumu. Kila mtu anatoa hukumu, wengine ohoo sijui ni dagaa tu ndio watatajwa, nk. Kwa nini tusisubiri jamani? Mnakuwaje lakini. AU kuwa sceptical ndio kutoa mchango hapa? Ukiunga mkono kwani kuna kosa gani?

ndio maana nilisema before kwamba hakuna JK analofanya likawa zuri kwa hawa watu ! Yaani kila kitu kibaya kwao, ni kweli JK anakosea, lakini basi kwa nini tusisubiri na kuona outcomes ?
 
Back
Top Bottom