Chanzo gazeti la Nipashe la tarehe 20 Februari l, 2024.
Hakika taarifa hii ni faraja kubwa kwa watumishi wa umma ambao wengi wao wamekuwa wahanga wa mikopo umiza/nyonyadamu.
Mkopo huu utawasaidia kuwakwamua kiuchumi watumishi wa umma.
Watendaji wenye dhamana waache ukiritimba na figisu.
Hakika taarifa hii ni faraja kubwa kwa watumishi wa umma ambao wengi wao wamekuwa wahanga wa mikopo umiza/nyonyadamu.
Mkopo huu utawasaidia kuwakwamua kiuchumi watumishi wa umma.
Watendaji wenye dhamana waache ukiritimba na figisu.