JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,391
- 9,665
Wanabodi natumaini mko salama.
Hebu tuanze kuwanchambua viongozi mbalimbali waliokabidhiwa kazi na wanachi.
Kwa vile leo ndo naanza bandiko hili nimeona nianze na Rais wa TLS.
Siku nyingine nitakuja na viongozi mbalimbali wakiwemo marais wa Ngumi, TFF n.k
Wale wajuzi wa mambo hebu tujadili hapa changamoto zinazomkabili Rais wa TLS na Mafanikio yake tangu aingie Madarakani.
Mfano wa mafaanikio yake ni kuiwezesha TLS kujulikana kwa watu mbalimbali.
Mjadala umefunguliwa .. Matusi hayaruhusiwi.
Hebu tuanze kuwanchambua viongozi mbalimbali waliokabidhiwa kazi na wanachi.
Kwa vile leo ndo naanza bandiko hili nimeona nianze na Rais wa TLS.
Siku nyingine nitakuja na viongozi mbalimbali wakiwemo marais wa Ngumi, TFF n.k
Wale wajuzi wa mambo hebu tujadili hapa changamoto zinazomkabili Rais wa TLS na Mafanikio yake tangu aingie Madarakani.
Mfano wa mafaanikio yake ni kuiwezesha TLS kujulikana kwa watu mbalimbali.
Mjadala umefunguliwa .. Matusi hayaruhusiwi.