kamikaze
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 422
- 610
Huyu jamaa kwa kipindi kifupi ameweza kuwa mwanamuziki maarufu na mwenye mafanikio duniani. Kafanya shows nyingi, kajaza watu kwenye show zake na mengineo mengi.
Je, siri ya kufanikiwa kwake ni Kipaji au menejimenti inayojielewa? Miaka kama miwili au mitatu alifanya ngoma na Diamond pamoja na Harmonise lakini kwa sasa ukiwalinganisha unaona kabisa jamaa kawaacha mbali Diamond pamoja na Harmonise.
Na show yake kubwa ijayo ataperform kwenye fainali ya champions league mwaka huu. Je, nini wanamuziki wetu wanatakiwa kukifanya kuweza kupata mafanikio haya? Maana naona wanigeria wako mbali sana. Mwaka jana Davido aliperfom kwenye fainali za world cup, Tems alishinda tuzo ya grammy na wengineo wanafanya vizuri kimataifa. Nadhani mawazo yetu yanaweza kusaidia wasanii wetu kukua zaidi kimataifa.
Je, siri ya kufanikiwa kwake ni Kipaji au menejimenti inayojielewa? Miaka kama miwili au mitatu alifanya ngoma na Diamond pamoja na Harmonise lakini kwa sasa ukiwalinganisha unaona kabisa jamaa kawaacha mbali Diamond pamoja na Harmonise.
Na show yake kubwa ijayo ataperform kwenye fainali ya champions league mwaka huu. Je, nini wanamuziki wetu wanatakiwa kukifanya kuweza kupata mafanikio haya? Maana naona wanigeria wako mbali sana. Mwaka jana Davido aliperfom kwenye fainali za world cup, Tems alishinda tuzo ya grammy na wengineo wanafanya vizuri kimataifa. Nadhani mawazo yetu yanaweza kusaidia wasanii wetu kukua zaidi kimataifa.