Mafanikio ya jamal malinzi

Mafanikio ya jamal malinzi

Mafanikio yake mhhh.

1. Kamfungia ndumbaro maisha.

2. Rais anayeongoza kwa kamati zake za nidhamu kuwashika Simba uchawi. Kawapiga sana mikia faini kwa kuloga.

3. Kavuruga timu ya taifa amejikita sana ktk jezi utafikiri Taifa stars ni timu ya Mitindo na sio Soka.

4.............................. Ongezeeni
 
Nafikiri ni Jana nilisoma mawazo yake twitter...alitwit...moja ya jambo analojisifia eti kufanikiwa kuonesha mechi za Taifa starz live zaidi ya kumi na mbili.....labda mafanikio mengine ni kupeleka timu ya maboresho tukuyu...
 
Yapo mengi tu, baadhi ni;

1. katumia akili nyingi sana kuwashawishi real madrid kuja kuwekeza katka akademi inayojengwa na NSSF

2. Katumia zaidi ya milioni 300 kutengeneza taifa starz maboresho ingawa sijui imeishia wapi

3. kajenga mahusiano mazuri na nchi jirani.. ndo maana hata tumealikwa katika michuano ya COSAFA

4. katika ligi iliyoisha alijitahidi kila timu iwe na timu ya vijana.. ingawa sijajua lengo lake lilikua nini hasa mana hizo timu hazikua na mashindano yao

Sasa hyo namba 2 na 4 umeziweka za nn ??
 
Back
Top Bottom