ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,662
- 90,137
3,999 per sqm ni eneo la kiwanja hilo mkuu.One square meter Ni 399000 hivi mlimani city wamefika Bei hiyo.
It should be 3,990 kwa mita mraba otherwise .......
3,999 per sqm ni eneo la kiwanja hilo mkuu.One square meter Ni 399000 hivi mlimani city wamefika Bei hiyo.
It should be 3,990 kwa mita mraba otherwise .......
Maeneo yote yana watu, unaweza kudhani pale Mbezi unaweza kuingia kuweka biashara yako tu lakini wapo watu na wamemiliki maeneo yote. Ukitaka muone dalali, eneo dogo tu utalipa hadi 1.5m ili kuweka kibanda chako. Sikujua hili hadi nilipompeleka dogo mmoja rafiki yangu sana.Hivi kupata nafasi yakuweka kibanda nje ya stand inahitaji dalali au unajiwekea tu???frem za huko ndani tumewaachia wenyewe mnaoziweza
Kingsmann
Udisahau kuomba ushauri kwa Mr. KukuNilitaka niombe ...kumbe hali ndio hiyo. Basi ngoja niende tu kufuga kuku.
Mpeleke kule chini karibu na ilipo safari bar...kuna biahaara sana kule ila pia inategemea na biashara anayotaka,kule biashara za maduka ya jumla na nafaka ndio kwenyeweMaeneo yote yana watu, unaweza kudhani pale Mbezi unaweza kuingia kuweka biashara yako tu lakini wapo watu na wamemiliki maeneo yote. Ukitaka muone dalali, eneo dogo tu utalipa hadi 1.5m ili kuweka kibanda chako. Sikujua hili hadi nilipompeleka dogo mmoja rafiki yangu sana.
Nilimpeleka pale roundabout ya njia ya Goba, alipata sio pabaya.Mpeleke kule chini karibu na ilipo safari bar...kuna biahaara sana kule ila pia inategemea na biashara anayotaka,kule biashara za maduka ya jumla na nafaka ndio kwenyewe
Hiyo hela sii bora nikabet tuu nitulie zangu homeFrem ya mita 3 kwa 4 ni milion 5 kwa kodi ya mwezi...hiyo hapo ni kwa ajili ya E.MONEY shops(uwakala) sijui mtu atafanya biashara kiasi gani kuweza kupata kiasi hicho cha kodi,mshahara wa mfanyakazi/kodi za serekali,faidan n.k
Picha ya tatu ni mita za mraba 42 eneo la cafe na fastfood bei ni kama hivyo.View attachment 1628738View attachment 1628740View attachment 1628744
Pote panafaa....ila unaijua hotel ya nyota 5 mkuu?? Uje kutujengea sisi wapanda maabus hotel ya nyota 5???nataka kuwekeza hoteli yenye hadhi ya nyota 5 maeneo karibu na maeneo hayo ya stendi ya mbezi mwisho, naomba ushauri kati ya;
1. Luguruni
2. kibamba
4. Kiluvya gogoni
wapi kati ya maeneo hayo panafaa zaidi?
Hahaha hata mimi nataka niwe kama tips master nawekeza milion 10 kamariniHiyo hela sii bora nikabet tuu nitulie zangu home
Huko bei zilikua je?Ukienda na kadi ya chama bei itakuwa pungufu. Vipi wale wa Rock city mall pamejaa?
Hahaha pale hata wife wangu yupo palee...anakimbizaa pana mzunguko mzuri ila kodi yake pia sio habaaNilimpeleka pale roundabout ya njia ya Goba, alipata sio pabaya.
Za moto sana, kodi zilikuwa zina soma kuanzia million, palichelewa sana kupata watu, hata sasa japo sijafuatilia muda nadhani hapaja jaa.Huko bei zilikua je?
Karibu uje uweke saluni.... ila uhakikishe kwa siku unapata wateja 50 to 70 na wote wawe wa elf 20 kwenda juuAisee
Hua wanasoma upepo wanapunguza...hata hapo mbezi wanasubiri makampuni yakishachukua zitakazo baki raia watakuja kupata kwa bei ya wastani japo haitokua habaZa moto sana, kodi zilikuwa zina soma kuanzia million, palichelewa sana kupata watu, hata sasa japo sijafuatilia muda nadhani hapaja jaa.
😂😂😂😂 50 to 70...thubutuuuyKaribu uje uweke saluni.... ila uhakikishe kwa siku unapata wateja 50 to 70 na wote wawe wa elf 20 kwenda juu
Nilikua napachukulia poa kumbe ndomoto hiviimamaana akishalipa hiyo 1.5m ni pake kabisa??Maeneo yote yana watu, unaweza kudhani pale Mbezi unaweza kuingia kuweka biashara yako tu lakini wapo watu na wamemiliki maeneo yote. Ukitaka muone dalali, eneo dogo tu utalipa hadi 1.5m ili kuweka kibanda chako. Sikujua hili hadi nilipompeleka dogo mmoja rafiki yangu sana.
Tena hyo ndogo nlikuwa na kaeneo kadog tu maeneo ya crdb mtu kafika ml 3 nmemuachia