Hello!
Heri ya mwaka Mpya. Nilipata changamoto nikapotea kidogo Ila nimerudi (wakulungwa wanaelewa nimepotea wapi).
Back to business.
Ninaomba mnisaiaide kupata eneo zuri la biashara ya mahitaji ya nyumbani (unga, mchele, maharagwe, sukari, chumvi, diapers, mafuta na mahitaji mengine mengi ya nyumbani). Napendelea kuuza reja reja...
Eneo hilo niweze pia kuwa nauza fresh juice na maziwa kwa kuwasambazia watu waliopo eneo hilo na jirani na duka (kwa hiyo uwepo wa vijiwe na mzunguko wa watu ni muhimu).
Nitatoa kifuta jasho kwa atakayenielekeza chimbo La kueleweka nisije kata mtaji wangu.
Eneo napendelea liwe mitaa ya Mbezi ya Kimara, mitaa ya Kimara, pia Goba japo Goba sio kipaumbele.
Nasisitiza kutoa chochote kwa atakayenipa ushirikiano wa eneo zuri na ikiwezekana frem kabisa.
Asanteni kwa ushirikiano.
Heri ya mwaka Mpya. Nilipata changamoto nikapotea kidogo Ila nimerudi (wakulungwa wanaelewa nimepotea wapi).
Back to business.
Ninaomba mnisaiaide kupata eneo zuri la biashara ya mahitaji ya nyumbani (unga, mchele, maharagwe, sukari, chumvi, diapers, mafuta na mahitaji mengine mengi ya nyumbani). Napendelea kuuza reja reja...
Eneo hilo niweze pia kuwa nauza fresh juice na maziwa kwa kuwasambazia watu waliopo eneo hilo na jirani na duka (kwa hiyo uwepo wa vijiwe na mzunguko wa watu ni muhimu).
Nitatoa kifuta jasho kwa atakayenielekeza chimbo La kueleweka nisije kata mtaji wangu.
Eneo napendelea liwe mitaa ya Mbezi ya Kimara, mitaa ya Kimara, pia Goba japo Goba sio kipaumbele.
Nasisitiza kutoa chochote kwa atakayenipa ushirikiano wa eneo zuri na ikiwezekana frem kabisa.
Asanteni kwa ushirikiano.